Recent content by Ex Slave

  1. Ex Slave

    Bei ya Godoro la Tanfom Arusha na QFL Dodoma

    Mie pia ninalo inch 8 6x6 hata miezi mitano haijaisha lishageuka mtumbwi 🤔
  2. Ex Slave

    Bei ya Godoro la Tanfom Arusha na QFL Dodoma

    Natumia hilo la GSM lakini linabonyea ukilala ukiamka unajisikia kabisa hauko poa. Wallah sikutegemea kama lingekuwa na sagging this much maana lilipigiwa debe sana kuwa ni zuri. DISSAPOINTED 🤔
  3. Ex Slave

    Tetemeko la Ardhi latokea maeneo ya Pwani (Vikindu)

    Poleni sana wakuu lakini vipi mamlaka husika zimethibitisha hilo tukio????
  4. Ex Slave

    Tanzania yapunguza safari za Kenya Airways

    Wakenya ni wajanja sana Tz we should very carefully coz hata kiwanda cha bia walikataa kisijengwe kule kwao....look what they did wameleta nakumat bongo na wafanyakaxi wengi na wakwao..na bado wanaendelea tu kuleta vitu vya kwao mwisho wa siku tutawapigia magoti kuwaomba msaaada...too BAD
  5. Ex Slave

    Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

    Watamwachia tu wamemchukua kumhifadhi kwa ajili ya public interests ili msione hajachukuliwa hatua....hii ni Tanzania bhaaana hapigwi wala hata hafinywi
  6. Ex Slave

    Nguvu ya marafiki na mustakabali wa maisha yetu

    Mkuu aliyetoa somo thanks kinoma noma yaani I feel touched sana areeeef....
  7. Ex Slave

    Naomba kuuliza feza boys ada shiling ngapi kwa mwaka?

    Marian Boys Feza Boys Loyola Naomba msaada kati ya hizo shule ipi ina malezi bora na academic wako njema hasa kwa O level, aksanteni.....!!!!!
  8. Ex Slave

    Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

    Mbona kama Mh. amejibu kwa jazba haahahaaaa "upuuzi upuuzi maneno ya mitaani" hata mengine huanzia huku huku mitaani kama watu walivyokua wanakudiscuss kuingia ikulu ni huku huku mtaani ambako leo unakuona kumenuka.... Ee Mungu nakuomba ulinusuru taifa langu na watu wake
  9. Ex Slave

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Hilo zao sidhani kama linastawi sehemu za baridi sanasana ni maeneo ya Pwani hasa so kama unataka kuwekeza jaribu kuwekeza katika hayo maeneo.
  10. Ex Slave

    Loan board

    Wapendwa naomba tusaidiane vile viambatanishi muhimu wakati wa kuaaply mkopo ili iwe rahisi nisije nikakosea
  11. Ex Slave

    Walio wahi kusoma mchikichini na mapambano

    Mgote keta kinyama aisee japo naye anajua sana ila Moody Physics naye yuko vzr ila mamanzi wengi ndo wapo kwa MOODY ila kwa MGOTE wagumu tupu Kuna jamaa anaitwa MWARAMY naye alikua vzr sana kwa namba na slogani yake ya MAN vipi man...
  12. Ex Slave

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Kwa sasa hali ya soko ikoje #masagati and does the business pay good I need your assistance kwa yeyote mwenye uzoefu I wanna invest into the business. Thanks in Advance.
  13. Ex Slave

    Hatuna lengo la kuvunja Muungano, serikali tatu itaimarisha Muungano uliopo...

    Tuache kuchangia kwa jazba bali kwa hoja za msingi na zenye ueledi lengo kila mwana JF apatapo fursa kusoma mchango(mawazo) wako aweze kuelewa jinsi mchakato mzima unavyokwenda. Binafsi bado sijakuwa na msimamo kati ya 2 au 3 kwasababu kila upande una hoja za msingi mara tu ninapowasikiliza...
  14. Ex Slave

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    #Okinawa .. Zanzibar ni nchi kutokana na katiba yao ya mwaka 2010 which means hawaezi kukubali Serikali moja wala mbili na wanachoshinikiza ni muungano wa mkataba au Serikali tatu ili nayo pia iwe na mamlaka kamili katika masuala ya utawala na umiliki wa rasilimali.
  15. Ex Slave

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Kuna watu wengine humu ndani sijui hata kama wanafuatilia huu mchakato mzima wa katiba kwasababu kuna mambo ya msingi sana ya kutazamwa katika Serikali mbili na Serikali tatu lakini mtu anaandika Serikali mbili or tatu au kumpinga mwingine bila ya kuwa na hoja ya msingi. Kabla ya kuja humu...
Back
Top Bottom