KIJIJI CHA HAKI
Senior Member
- Apr 10, 2012
- 101
- 16
thanx mkuu, kwani debe moja huwa lina kilo ngapi? Mi soko langu ni la hao hao waasia...na hiyo bei ni mikoa ya kusini kama mtwara au kati singida nk?
Huwa unafika 17_19kg kwa debe moja inategemeana na aina ya ufuta na ulivyotunzwa.