Naomba kuuliza feza boys ada shiling ngapi kwa mwaka?

Naomba kuuliza feza boys ada shiling ngapi kwa mwaka?

Mkuu, wengi wanaosomeshwa hapo wazazi wao hawana maisha ya kubangaiza!
Na hata wakimaliza sekondari vyuo vyao ni UK, Ulaya n.k.
Kazi zao sio za mishahara ya laki 5! Hivyo usidhani eti wanawekeza ili kazi ije iwalipe! Umasikini mzigo asikwambie mtu!

daaah,bro usiseme hivyo unatuumiza siye wa shule za kata.
 

Noma ci kidogo Mkuu.. Halafu kinachoudhi kabisa hawa wanaosomeshwa pale Feza wanapoingia vyuoni wanapewa mikopo na bodi.. Tena wanatumia migongo ya wazazi/walezi wao kulazimisha kupewa mikopo.. Watoto wa walala hoi wanakosa mikopo.. Kama waliweza kuwalipia mahela yote hayo wakiwa sekondari wanashindwa nini kuwalipia na vyuo..?
 
Noma ci kidogo Mkuu.. Halafu kinachoudhi kabisa hawa wanaosomeshwa pale Feza wanapoingia vyuoni wanapewa mikopo na bodi.. Tena wanatumia migongo ya wazazi/walezi wao kulazimisha kupewa mikopo.. Watoto wa walala hoi wanakosa mikopo.. Kama waliweza kuwalipia mahela yote hayo wakiwa sekondari wanashindwa nini kuwalipia na vyuo..?

Hapo ndipo tatizo lilipo haiwezekani mtu kwa mda wa miaka sita anatumia zaidi ya milion 30 halafu anaonekana kwenye orodha ya waliopata mkopo wakati mwingine kwa mda huo huo anatumia laki mbili na elfu ishilini (20,000x4 + 70,000x2) halafu anakosa mkopo.
 
Mkuu, wengi wanaosomeshwa hapo wazazi wao hawana maisha ya kubangaiza!
Na hata wakimaliza sekondari vyuo vyao ni UK, Ulaya n.k.
Kazi zao sio za mishahara ya laki 5! Hivyo usidhani eti wanawekeza ili kazi ije iwalipe! Umasikini mzigo asikwambie mtu!

Nimependa sana huo msemo uliopigiwa red!
 
Mwanangu ataendelea kusoma Kayumba day na January nitamnunulia fagio jipya
la chelewa na dumu la Okey
 
5.2Millions Tanzania Shilings Per year.

mkuu kama ni hii bei halafu form six wakina mwana asha wanazungusha ni bora umpeleke south africa akasome huko maana fees za south kidogo ni afadhali maana fees za watu wanaotoka SADC countries wanalipa sawa na wazawa wa south africa. nakuambia ukiangalia fees za degree za UCT utashangaa sio ghali kama za uk na zina quality tu.
 
hawana persha wale ya kupiga msuli bundi nyumbani kaacha majumba,magari na pesa ipo,akimaliza bot. sasa wewe hata upate first class na yeye apate pass ashakupiga chini.
 
Hehehe Bibie mwanaasha aliRotate. Hivi siku hizi yuko wapi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

nyie mtabaki kupiga majungu humu JF na wakati mtoto wa Rais yupo 4m5 mwaka huu ktk shule 1 hapa dar( jina nimesahau) na mwakani anaingia 4m6 koz kasoma huu mwaka huku akirisiti baadhi ya mitihan kutafuta Credit 1 kwa mujibu wa baraza la mitihani Tz.
 
mkuu kama ni hii bei halafu form six wakina mwana asha wanazungusha ni bora umpeleke south africa akasome huko maana fees za south kidogo ni afadhali maana fees za watu wanaotoka SADC countries wanalipa sawa na wazawa wa south africa. nakuambia ukiangalia fees za degree za UCT utashangaa sio ghali kama za uk na zina quality tu.

mkuu mfano kuchukua first degree ya pretoria unvrsty kwa mwaka ni kama sh. Ngapi kwa jumla kuanzia ada na kila kitu?
 
Huwa najiuliza maswali kadha pindi ninapoona hizo ada za mamilioni ikiweo:
je uwekezaji katika elimu wa gharama kubwa utalipwa na mishahara gani?;
kwa mtu aliyesoma kwa gharama zote hizo na akalipwa chini ya laki tano ataacha kuiibia taasisi au kampuni?;
serikali imesema itaweka kikoma cha ada kwa shule binafsi, je shule za aina hiyo zitatii mamlaka?;
je gharama na ubora wa elimu unalinga na vyuo vya shahada hapa Tanzania?;
je mkuu wa shule hatakuwa tayari kufanya liwezekanalo (ikiwemo kutoa rushwa) ili wanafunzi wengi wapate daraja la kwanza?;
fedha chafu zinaharibu siasa na uchumi wa nchi, je hizi ada haziaribu elimu ya Tanzania.
Kwa kifupi maswali ni mengi, mengi sana!

Makes sense, unawekeza fedha yote hiyo kesho uajiliwe kwa mshahara upi? Ni vitu ambavyo huwa hatujiulizi wakati tunafanya maamuzi kama hayo! Unataabika na medicine for 6 years unalipwa 980, 000 Ths, unasoma miaka 3 ya ULAINI unalipwa 480,000 Tsh! Ipi ni bora?
 
Zmejenga matabaka lakini mbaya zaidi zimeharibu tamaduni tetu, watoto wengi wanaosoma humo wameharibikiwa wengi wao wanasagana na kulawitiana mbaya zaidi matumizi ya unga, wazazi kuweni makini msije mkadhani mnawekeza kumbe mnawekezwa. labda Mariani mambo ni salama.
 
mkuu mfano kuchukua first degree ya pretoria unvrsty kwa mwaka ni kama sh. Ngapi kwa jumla kuanzia ada na kila kitu?

najua bei ya UCT na hichi chuo ndio cha kwanza chenye ubora africa first degree kwa mwaka kwa mtanzania (SADC countries) fees pekee ni si zaidi ya tsh 7,500,000/= nje ya SADC ni tsh 10,200,000/= ukiwa email wanakutumia kila kitu kupitia detail nyingine kuna accom, food kama unataka kula kwenye cafe zao au utakuwa unajinunulia mwenyewe na tena kitu kilichonishangaza hata hostel beo ni tofauti kati ya sadc countries na nchi nyingine.
 
mkuu kama ni hii bei halafu form six wakina mwana asha wanazungusha ni bora umpeleke south africa akasome huko maana fees za south kidogo ni afadhali maana fees za watu wanaotoka SADC countries wanalipa sawa na wazawa wa south africa. nakuambia ukiangalia fees za degree za UCT utashangaa sio ghali kama za uk na zina quality tu.

Ada za Kindergaten, Primary School, Secondary School na High School zipo juu kuliko za Vyuo vikuu. Hii ipo kwenye nchi nyingi. Kwa mfano, shule ya Bishops Diocesan College pale Cape Town zipo hivi:

Tuition fees range from R28,300 (£2,154) annually for the youngest day boys to R70,640 (£6,530) to day boys in the senior school. Fees for boarders range from R67,020 to R123,320 (£6,195-£11,400). There is also a one-off registration fee of R500 (£46), while families must also pay a "placement fee" of up to R17,000 (£1,572) for their first boy admitted to Bishops.
 
najua bei ya UCT na hichi chuo ndio cha kwanza chenye ubora africa first degree kwa mwaka kwa mtanzania (SADC countries) fees pekee ni si zaidi ya tsh 7,500,000/= nje ya SADC ni tsh 10,200,000/= ukiwa email wanakutumia kila kitu kupitia detail nyingine kuna accom, food kama unataka kula kwenye cafe zao au utakuwa unajinunulia mwenyewe na tena kitu kilichonishangaza hata hostel beo ni tofauti kati ya sadc countries na nchi nyingine.

mkuu ahsante kwa msaada na nitalifanyia hili kazi.
 
Marian Boys
Feza Boys
Loyola

Naomba msaada kati ya hizo shule ipi ina malezi bora na academic wako njema hasa kwa O level, aksanteni.....!!!!!
 
Back
Top Bottom