Recent content by Evesta Ernest

  1. Evesta Ernest

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Wadau mechi ya yanga yaonyesha channel gani?
  2. Evesta Ernest

    Nimepata kazi serikalini, je niondoke vipi huku private?

    Umeongea vizuri sana. Nipo private na mkataba wetu mfupi sana so kila mtu ameweka mguu ndani mguu nje. Amna aliye kaa kiboya
  3. Evesta Ernest

    Yai la kuku utalichemsha kwa dakika ngapi?

    Pale linapoanza kuchemka subiri mda usiopungua dk tano ndo utoe.. Dk tano ni pale yanapoanza kuchemka siyo siyo pale unapoweka jikoni
  4. Evesta Ernest

    Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

    Pamoja sana kamanda, umejitahidi kuandika sana... Mungu akubariki
  5. Evesta Ernest

    Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

    Ishamtokea mwenzetu so mda wa kumalalamikia, sasa nimda wa kumfariji maana hapo alipo anajuta. Mpe maneno ya faraja so kumtonesha donda.
  6. Evesta Ernest

    Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

    Siyo rahisi kujua kila kitu maana yule ni mwanamke na wanawake wengi hawanaga uwezo wa kukaa na jambo moyoni
  7. Evesta Ernest

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Yap Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Evesta Ernest

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Naona dalili ya kufungwa tena, maana kule mbele hakuna plan zozote zaidi ya mipila kuishia kwenye mikuu ya beki. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Evesta Ernest

    Ukistaajabu ya bodi ya mikopo elimu ya juu utayaona ya watumishi

    Poleni sana waanga wa bodi ya mikopo. Nimesoma kwa tabu sana maana sikubahatika mkopo. Ila namshukuru Mungu nilimaliza. I hope ntaenjoy after long hassle Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Evesta Ernest

    Naomba kuelekezwa hatua gani za kufuata kuwa wakala wa benki

    Ndo maana nkauliza asee, kama mtu una maarifa kidogo si tunajuzana tu.
  11. Evesta Ernest

    Naomba kuelekezwa hatua gani za kufuata kuwa wakala wa benki

    Habari za muda huu wana JF? Nina ndoto ya kuwa wakala wa banks (commercial banks), naomba mwenye uzoefu zile machine za wakala unanunua au unapewa bure na banks accompanied with conditions au inakuaje? Msaada tafadhali. Na vipi kuhusu leseni yake? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Evesta Ernest

    Kili Stars itapigwa na Uganda kipigo cha mbwa koko

    Wameshinda njaa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Evesta Ernest

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Tatizo la yanga so ndani ya uwanja, tatizo ni nje ya uwanja ambalo ndo linachangia hata ndani ya uwanja kufanya vibaya. Mpira ni psychology. Vijana wetu hawako vizuri kipsychologia. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Evesta Ernest

    Taifa stars vs Uganda

    Acha mambo yenu. Kombe hili letu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom