makwagejo
JF-Expert Member
- Nov 25, 2019
- 361
- 267
Habari zenu watanzania,
Bodi ya mikopo elimu ya juu imekuwa ikifanya uzembe sehemu mbalimbali, unakuta mtumishi amebakiwa na 2.7 milioni linaloonekana kwenye salary slip ukipigiwa hesabu ili ulipe unaambiwa unadaiwa 4.7 huku umeajiliwa baada ya miezi sita wakaanza kukata fedha zao,
Haya umewalipa hiyo fedha na kubaki na chechi yako bado hiyo hela iliyozidi hailipwi ,utasugua nauli kuifatilia mpaka hela ya nauli inazidi kiasi unachodai bodi ya mikopo elimu ya juu,
Ni aibu kubwa miezi miwili hujalipwa fedha yako huku tunajinasibu tunakbizana na uchumi w kati ni uongo mkubwa sana hii nikutaka kufanya dhuruma za wazi kabisa wito wangu serikali ya ccm iache kuupuuza ukweli wa vijana na malalamiko yao
Sisi tunaoitetea ccm tunapobanwa mbavu mtaani unashindwa kuitetea maana ccm inasema kusema kweli daima na fitina mwiko!
Nimwambie mkurugenzi bodi ya mikopo atatumbuliwa muda si mrefu tunazidi kukusanya data za ushahidi wa madudu yake mwisho wa siku ataondolewa mara moja hatuwezi kuwa na watu wanaochelewesha malipo na haki za watu vinginevyo vijana ccm tujiandae kupingwa kwa nguvu na watumishi wa umma,
Sent using Jamii Forums mobile app
Bodi ya mikopo elimu ya juu imekuwa ikifanya uzembe sehemu mbalimbali, unakuta mtumishi amebakiwa na 2.7 milioni linaloonekana kwenye salary slip ukipigiwa hesabu ili ulipe unaambiwa unadaiwa 4.7 huku umeajiliwa baada ya miezi sita wakaanza kukata fedha zao,
Haya umewalipa hiyo fedha na kubaki na chechi yako bado hiyo hela iliyozidi hailipwi ,utasugua nauli kuifatilia mpaka hela ya nauli inazidi kiasi unachodai bodi ya mikopo elimu ya juu,
Ni aibu kubwa miezi miwili hujalipwa fedha yako huku tunajinasibu tunakbizana na uchumi w kati ni uongo mkubwa sana hii nikutaka kufanya dhuruma za wazi kabisa wito wangu serikali ya ccm iache kuupuuza ukweli wa vijana na malalamiko yao
Sisi tunaoitetea ccm tunapobanwa mbavu mtaani unashindwa kuitetea maana ccm inasema kusema kweli daima na fitina mwiko!
Nimwambie mkurugenzi bodi ya mikopo atatumbuliwa muda si mrefu tunazidi kukusanya data za ushahidi wa madudu yake mwisho wa siku ataondolewa mara moja hatuwezi kuwa na watu wanaochelewesha malipo na haki za watu vinginevyo vijana ccm tujiandae kupingwa kwa nguvu na watumishi wa umma,
Sent using Jamii Forums mobile app