Recent content by evelyne

  1. evelyne

    Job resign

    usiache kazi kabla ya kupata kazi ma dear mtaani jua kali
  2. evelyne

    Tra updates

    dah bora umeuliza...............coz me nilishakata tamaa naomba pia niulize kwani wanahitaji watu wangapi maana lile kundi duh !!!
  3. evelyne

    Ananisumbua...!!

    huyo mkeo anaumia ila hasemi anavumilia ..........swali atavumilia mpaka lini........tafakari na chukua hatua haraka
  4. evelyne

    Kwa wale tunaotembea na waume za watu

    ebu fikiria ungefanyiwa au yakukute wewe ungefurahi
  5. evelyne

    Kwa wale tunaotembea na waume za watu

    dah spare tyre ................nimeongeza msemo
  6. evelyne

    Kwa wale tunaotembea na waume za watu

    U will stil be called "the other woman" :nerd:
  7. evelyne

    Gubu la mawifi

    asikuumize kichwa anakaa kwako afate principals za humo ndani nothing less
  8. evelyne

    Huyu mrembo vipiiii, mambo gani haya...

    Ngoja uzae watoto wa kike wafanywe kama ulivyomfanyi huyo bidada .......
  9. evelyne

    Numekula mtu (dada) na mdogo wake

    mmh umekorofisha ndugu na wewe ndio sababu utaumwa kichwa mpaka utapoachana na hao wadada
  10. evelyne

    Ukisikia Pinda ni mnafiki ona sasa haya

    mmh tuiombee sana nchi yetu
  11. evelyne

    To hell with Cameron - Mugabe asema kinagaubaga!

    Mugabe is a really man .....he stands on whta he believes
  12. evelyne

    Tamaa mbaya: Afumaniwa ndani ya gari...

    Mungu anaipigania ndoa yako usijali
  13. evelyne

    Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

    Kwa kweli inapunguza mvuto<BR><BR>Kwa uelewa wangu.....mimi nikiwa mmoja wapo <OL class=decimal> <LI>Aina ya chakula</LI> <LI>Kujiachia baada ya uzazi</LI> <LI>macontaceptives mengi yanatuvimbisha</LI> <LI>Pia Gonjwa hili la duni</LI></OL>ni mawazo tu
  14. evelyne

    Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

    Kwa kweli inapunguza mvuto Kwa uelewa wangu.....mimi nikiwa mmoja wapo Aina ya chakula Kujiachia baada ya uzazi macontaceptives mengi yanatuvimbisha Pia Gonjwa hili la duni ni mawazo tu
  15. evelyne

    Two Keys to a Happy Marriage(kwa wanandoa)

    ubarikiwe Tuzid kuombeana sana
Back
Top Bottom