Recent content by euca

  1. euca

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwamba Sativa anasubiria ampune kanji
  2. euca

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Hoja nzuri sana shida ni kwamba nani anaweza Unda timi ya kufanya huo uchunguzi ,lakini pia hyo timu itaundwa na akina maana kumtambua nani mbaya nani mzuri kwenye system ni ngumu sana.
  3. euca

    Nimekuwa SHORTLISTED kada zaidi ya 3, naweza kufanya usaili kada zote au natakiwa kuchagua moja tu?

    Ndugu ww angalia ratiba tu na sizan kama hili jambo linahitaji ushauri
  4. euca

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ngoja nisubr code za odd mlima
  5. euca

    Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Mkuu mbona kama umelewa kweli
  6. euca

    Pentagon: Ndege za kivita za B-2 Stealth ziko tayari kwa operesheni ya Midnight Hammer

    Kitu ambacho Marekani na Israel wamekiweza vyema na Ipasanyo ni kuwa na machawa wao kwenye mifumo ya serikali nyingi sana hapa duniani hata ukiangalia hili la Ayatollah kupigwa pale inaonekana. Jamaa walikuwa na taarifa sahihi kuwa mwamba yupo pale na wala syo kubahatisha wakawasha vyuma.Ila...
  7. euca

    Nchimbi: Kazi ya kutumikia nchi ni ngumu na ndio maana maaskofu mapdri na masheikh wapo

    Angefukuzwa usingemuona hapo ,angekuwa zake peraminho anakula mema ya nchi
  8. euca

    TANZIA Msemaji wa M23, Willy Ngoma auawa kwa shambulio la Droni

    Hvi huyu mwamba kafa kweli au wanatuzuga tu. Hawa wazungu
  9. euca

    Samsung wamezindua simu Galaxy S26 Series!

    Yan Kuna s26, kuna Iddi Alafu Kuna pasaka ,Sasa hvi tutaanza kuona koneksheni.
  10. euca

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Sasa hivi tamthilia za majuu na wachezaji mpira wmezalisha majina mengi sana ya watoto wetu
  11. euca

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimechelewa na hili SGR
  12. euca

    Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    Unaweza Kuta jamaa wanatuchezea game kama la Pesa2 Basili kipindi kile
Back
Top Bottom