Recent content by euca

  1. euca

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wa mkataba wa Shirika la ICAP – Geita hatujalipwa mshahara toka Januari 2026

    Kwa upande wa Geita hilo Shirika naona Lina shida
  2. euca

    JamiiForums Tanzania Paul Biya amteua mwanaye kuwa Makamu wa Rais

    Uzuri wa yule mzee hali peke yake ndo maana husikii kelele
  3. euca

    JamiiForums Tanzania KERO UBOVU WA BARABARA – Kahana Mjini Kati na Maeneo ya Makazi ya Watu

    Poleni sana but muwakumbushe na Ile stendi bhana. Sisi wazaramu tangu tupo wadogo tunasikia tu Kahama Kahama, Yani Kahama Inavuma kuliko mkoa. Mara pap, nafika zangu Kahama stendi, wala hapaeleweki halafu ni ndogo Geti la kuingilia ndo Hilo hilo unatokea. Yani stendi inafanana na Ile ya Mbagala...
  4. euca

    JamiiForums Tanzania Hii level siyo ya Kila Mtu, Hata nikielezea hutaielewa

    Weka hyo michongo ndugu yangu
  5. euca

    JamiiForums Tanzania Suala la watu kuibiwa nyeti ni petty issues kuwatoa Watanganyika katika mjadala wa kupanda bei ya mafuta na mambo mengine ya muhimu

    Ngoja tusuburi ushuhuda wa wana Jf walioibiwa nyeti ,lakin kule Kongo na Burundi nako kilikuwa na issue gani Hadi haya mambo yakatokea huko
  6. euca

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwamba Sativa anasubiria ampune kanji
  7. euca

    JamiiForums Tanzania Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Hoja nzuri sana shida ni kwamba nani anaweza Unda timi ya kufanya huo uchunguzi ,lakini pia hyo timu itaundwa na akina maana kumtambua nani mbaya nani mzuri kwenye system ni ngumu sana.
  8. euca

    JamiiForums Tanzania Nimekuwa SHORTLISTED kada zaidi ya 3, naweza kufanya usaili kada zote au natakiwa kuchagua moja tu?

    Ndugu ww angalia ratiba tu na sizan kama hili jambo linahitaji ushauri
  9. euca

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ngoja nisubr code za odd mlima
  10. euca

    JamiiForums Tanzania Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Mkuu mbona kama umelewa kweli
  11. euca

    JamiiForums Tanzania Pentagon: Ndege za kivita za B-2 Stealth ziko tayari kwa operesheni ya Midnight Hammer

    Kitu ambacho Marekani na Israel wamekiweza vyema na Ipasanyo ni kuwa na machawa wao kwenye mifumo ya serikali nyingi sana hapa duniani hata ukiangalia hili la Ayatollah kupigwa pale inaonekana. Jamaa walikuwa na taarifa sahihi kuwa mwamba yupo pale na wala syo kubahatisha wakawasha vyuma.Ila...
  12. euca

    JamiiForums Tanzania Nchimbi: Kazi ya kutumikia nchi ni ngumu na ndio maana maaskofu mapdri na masheikh wapo

    Angefukuzwa usingemuona hapo ,angekuwa zake peraminho anakula mema ya nchi
  13. euca

    JamiiForums Tanzania TANZIA Msemaji wa M23, Willy Ngoma auawa kwa shambulio la Droni

    Hvi huyu mwamba kafa kweli au wanatuzuga tu. Hawa wazungu
Back
Top Bottom