Mtendaji haswa sema huyu syo wa Lumumba ndo maana unaona watu hawamsifii sana but Rais anafahamu utendaje kazi wake hata Ile siku anaapishwa Rais alimwambia kuwa huko anakoenda mtangulizi wak alikuwa na changoto na viongozi wake wa chini hvyo yeye kama mama anapaswa akawalee vizur na kutoa hizo...
Mtoa mada Kuna sehemu. Umezungumizia tuzo za Grammy umesema kuwa ukiznguana na P.didy sahau kuwa nominated kwani huyo P.didy huko Grammy ana licheo gani huko?
Jiji kubwa kama lile ,lenye pisi kali nyeupeee unajengaje uwanja wenye uwezo wa kuingiza watu 30,000 wakati palitakiwa ujengwe wenye kuingiza 60,000 , ambao kwa mechi kubwa kama za Simba na yanga hata wale majirani zao Kilimanjaro wangeenda kule kuujaza uwanja
Tatizo la Simba janja janja zimekuwa nyingi sana kuanzia mwekezaj mpaka viongozi wa chini yake,mara Mo arena mara bunju hata hawaelewiki mwisho wa siku Wanatuletea akina jobe na fredy na Sasa hvi wanaona mechi yao ya robo finali itakuwa rahis sna kupita Ile ya wapinzani wao Mpaka mtu unajiuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.