Recent content by euca

  1. euca

    JamiiForums Tanzania Nina jamaa yangu tangu nimjue hajawahi kuwahi tukikutana. Hii inasababishwa na nini wakuu?

    Hilo ni moja ya mapungugu yake hvyo kuyatambua kwako Kuna kupa uwezo wa kuzidi kuwa pamoja muda mrefu
  2. euca

    JamiiForums Tanzania Tetesi: JayRutty kusitisha mkataba na Simba mwisho wa msimu huu

    Bonafsi naona Kuna dalili ya kuongeza tu mkataba maana hiyo biashara haina hasara
  3. euca

    JamiiForums Tanzania Tamasha la leo 8.Aug.2026 Simba inahujumiwa kwenye Azam Tv

    Hatuna timu pale
  4. euca

    JamiiForums Tanzania Nimenunua Samsung galaxy S21+ 5G

    Ongeza nyama kidogo na sisi watu wa maduarani tupate maarifa
  5. euca

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hii safi sana inapaswa tuheshimu wake za watu kinyume na hapo yaweza kukukuta yaliyomkuta mwamba hapo juu
  6. euca

    JamiiForums Tanzania KERO Hivi NHIF Imefilisika? Hospitali nyingi na Vituo vinalalamika kutolipwa!

    Hawa hawawezi kufulia maana wanauhakika wa maokoto kila mwezi na katka hao wanaoumwa ni wachache sana
  7. euca

    JamiiForums Tanzania Kama ulikua hujui kuwa DAR ES SALAAM kuna TAPELI WA JUICE wacha nikufahamishe;-

    Jamaa haanzi kukupa juice Bali anaanza na maswali then wakati unajiandaa kujibu anakukaribisha na hiko kinywaj ili ujibu vizuri maswali yake ,kwa nature ya watu wadarisalaam wanavyopenda ndumba Katika bize zao nahakika haka kajamaa anakandumba kake cha kuwatia watu ulofa nakuwapumbaza
  8. euca

    JamiiForums Tanzania Kama ulikua hujui kuwa DAR ES SALAAM kuna TAPELI WA JUICE wacha nikufahamishe;-

    Huyu jamaa yupo hata kabla ya Magufuli kuwa Rais ,nilikuwa jamaa ameshapata kizimba mule ndani sokon
  9. euca

    JamiiForums Tanzania Una muziki ambao ungependa uoate beat bila vocal au vocal bila beat, pandisha hapa vitatenganishwa

    Hili goma nalikubali sana especially vinanda vya humo ndani ndo maana nimeungaunga kule mbele,naomba unitenganishie beat na hyo vocal Kiongozi.
  10. euca

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Kuna haja ya serikali Kuja na njia mbili zinazoenda na kurudi Katika barabara kuu za kuelekea mikoani ili kupunguza haya matukio ya ajali za kikatili
  11. euca

    JamiiForums Tanzania Tajiri wa Katoro ana akili ya kutafuta Pesa lakini hana akili ya maisha

    Acheni KupangiaA watu matumizi ya Maokoto yao
  12. euca

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje namimi niweze kuongea bass kubwa ya kunguruma

    Nenda kwa mtume Mwamposa akakupe basss buuuuure
  13. euca

    JamiiForums Tanzania Lodge za Mtwara Mjini

    Ukishuka stand waambie Wakupeleke Tiffan
  14. euca

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wale wazee wa majanvi chagua code utembee nayo Hadi mwezi wa nane mwishoni tuwe kama watu wa Katoro but ruksa kuedit 5JWW7M, 5JY9DQ, 6HNWGW, 6HJH46, 692X9A, 5HA3KP
  15. euca

    JamiiForums Tanzania Chai ya nazi

    Njoo Mafia huku Kuna Hadi togwa za nazi
Back
Top Bottom