Recent content by euca

  1. euca

    CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

    Kwa mtazamo wangu hii AFL ndo itakuwa ligi kubwa lakn bingwa wa ligi ndo atashiriki huko na wale wa pili wataenda CAFCL
  2. euca

    Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

    Sasa unapakimbiaje sehemu iliyokupatia huyo mumeo?
  3. euca

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hakuna maajabu hapo nikubeba tu point 2 ni nyingi hapo tunaomba tu spurs tumkande vizuri maana ndo fixture Ngumu hyo
  4. euca

    Watumishi wa Serikalini jinsi ya kuweka task na sub-task kwenye mfumo wa ess (pepmis)

    Hvi mtoa mada mitandao ya kijamii kule unatumia jina gani
  5. euca

    Ramadhani ile haipo

    Enzi zenu hakukuwa na Smartphone ndo maana mliweza hayo yote Sasa hivi ni ngumu
  6. euca

    Queen Sendiga ni aina ya kiongozi anayehitajika kwenye kila Jamii

    Mtendaji haswa sema huyu syo wa Lumumba ndo maana unaona watu hawamsifii sana but Rais anafahamu utendaje kazi wake hata Ile siku anaapishwa Rais alimwambia kuwa huko anakoenda mtangulizi wak alikuwa na changoto na viongozi wake wa chini hvyo yeye kama mama anapaswa akawalee vizur na kutoa hizo...
  7. euca

    Wachezaji wa Ulaya mbioni kuikimbia ligi ya Saudi Arabia

    Wapuuzi tu hawana jipya
  8. euca

    P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

    Mtoa mada Kuna sehemu. Umezungumizia tuzo za Grammy umesema kuwa ukiznguana na P.didy sahau kuwa nominated kwani huyo P.didy huko Grammy ana licheo gani huko?
  9. euca

    Nina Milioni 16, naombeni ushauri

    Mpe Simba anashinda upate faida mara dufu
  10. euca

    Arusha: Anywa sumu akiwa kituo cha polisi na kufariki dunia

    Kama alikwenda na maburungutu au jiwe kwisha Habari yake
  11. euca

    Arusha: Anywa sumu akiwa kituo cha polisi na kufariki dunia

    POLISI wanazinguq Sana Kuna mwngne walisema kajinyongq mahabusu kule mtwara
  12. euca

    Ujenzi wa uwanja wa mpira Arusha uhamishiwe Mwanza

    Jiji kubwa kama lile ,lenye pisi kali nyeupeee unajengaje uwanja wenye uwezo wa kuingiza watu 30,000 wakati palitakiwa ujengwe wenye kuingiza 60,000 , ambao kwa mechi kubwa kama za Simba na yanga hata wale majirani zao Kilimanjaro wangeenda kule kuujaza uwanja
  13. euca

    How can I check my luck by date of birth?

    Ingekuwa poa mngeweka hizo namba na matumizi yake ili tutoboe haya maisha
  14. euca

    Kama Yanga watajenga Uwanja hapo Jangwani basi Mo Dewji hastahili kuendelea kuwepo Simba

    Tatizo la Simba janja janja zimekuwa nyingi sana kuanzia mwekezaj mpaka viongozi wa chini yake,mara Mo arena mara bunju hata hawaelewiki mwisho wa siku Wanatuletea akina jobe na fredy na Sasa hvi wanaona mechi yao ya robo finali itakuwa rahis sna kupita Ile ya wapinzani wao Mpaka mtu unajiuliza...
  15. euca

    Kama Yanga watajenga Uwanja hapo Jangwani basi Mo Dewji hastahili kuendelea kuwepo Simba

    Mafuriko yanasogezwa kule kwenye mradi wa mwendokasi kule
Back
Top Bottom