Hoja nzuri sana shida ni kwamba nani anaweza Unda timi ya kufanya huo uchunguzi ,lakini pia hyo timu itaundwa na akina maana kumtambua nani mbaya nani mzuri kwenye system ni ngumu sana.
Kitu ambacho Marekani na Israel wamekiweza vyema na Ipasanyo ni kuwa na machawa wao kwenye mifumo ya serikali nyingi sana hapa duniani hata ukiangalia hili la Ayatollah kupigwa pale inaonekana. Jamaa walikuwa na taarifa sahihi kuwa mwamba yupo pale na wala syo kubahatisha wakawasha vyuma.Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.