Nzuri sana kwa kupigia picha madem...🤣Wadau habar ya jioni. Leo nimenunua simu tajwa hapo juu. Nombeni mwenye uzoefu aweze kunmbia ubira na changamoto ya hii simu
Umemaliza ....Nzuri sana kwa kupigia picha madem...🤣
Na haiwezi ikakataliwa kuweka bond bar kama ukiishiwa hela...😜
Si shauri mtu kununua S series 22 kushuka chini.Wadau habar ya jioni. Leo nimenunua simu tajwa hapo juu. Nombeni mwenye uzoefu aweze kunmbia ubira na changamoto ya hii simu
Sio poa mkuu ingefaa uulize kabla. au wamekupa option ya kuirudisha kama hujaipenda?Nime3nda dukan mwenyewe
Ongeza nyama kidogo na sisi watu wa maduarani tupate maarifaSi shauri mtu kununua S series 22 kushuka chini.
Bali nunua anzia S23
Ni kweli maana huko taarifa zinachelewa sana kuwafikiaOngeza nyama kidogo na sisi watu wa maduarani tupate maarifa