Tuwe serious basi! kwani vita vya dunia ya sasa wanatumia ngumi kupigana??
Wakati unashusha hizi nondo zako, ulifanya rejea ya mission zilizo fanywa kwa mafanikio na Israel!?
Hata katika Ranking za majeshi bora dunian , Israel imo kwenye 20 twenty.
Mkuu John Mbatizaji, yani bado tunahangaika kutafuta nchi za kutusaidia?
Nilidhani kwa sasa tunajitegemea, anacho fanya ni kuimarisha diplomasia kimataifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.