Hapa pamenishinda nishakosa vigezoAwe amejiajiri au muajiriwa
Mkuu, shida haiangalii muda! tuombeane nifanikiwe mkuu!Good timing mkuu.
Baada ya sikukuu kupita nyuzi za wanaume kusaka wenza ni nyingi.
Siku kadhaa kabla ya sikukuu nyuzi nyingi zilitoka upande ke.
Aisee mnaliana timing kali kichizi.
Kwa njaanuari hii pm yako inafurumia tu huko
Wasifu wako ni ulimbo, ofa baabkuvwa umewahusudu singo maza. Huwezi kukosaMkuu, shida haiangalii muda! tuombeane nifanikiwe mkuu!
Nishasema akipata aniite mbwa yan mnakua kama mmerogwa hiv yan kama hamna akili vizur hiv😂ila ebu tukae kimya naona ving hamvijuiSio kweli,mke au mume anapatikana popote,haijalishi mtandaoni au sehem gani,ni Imani yake kuwa huku atapata,tumwache aendelee kutafuta
ni ufala kama ufala mwingine kaka yan af mtu mzima kabisa😂😂aibu sanaHiki kitu cha kutafuta webza mtandaoni hua sijawahi kukielewa.
Je n kwamba katika watu wanowazunguka hawajaona anaefaa?
Je ni kwamba wanatafta suprise huku mtandaoni?
Je ni kukata tamaa na jua kuanza kuzama?
Je ni sehem ya kuficha maovu hasa kwa watu wasiowafaham vizuri?
Je ni uwezo mdogo wa kumwaga serA?
All in all nadhani kila mtu ana mawazo yake. Kila la kheri mkuu
Kiwahili ni kigumu (Maana yake ilikiwa hata single mama) anakubalika.Awe anaweza kuwa single mother?🤣🤣🤣🤣 yaani kwamba ukimzalisha unayeyaa au?
Ukipata niite mbwa nimekaa pale
Mtumie hapa hapaNikitaka kwenda inbox inatoka iv itakua ni nn wadauView attachment 2469209
🥛Uko mkoa gani mkuu