SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,282
- 3,519
AcHa tuUmechoka sasa kutumia sabuni siyo?
AcHa tuUmechoka sasa kutumia sabuni siyo?
Huu urefu wa cm 173 ni urefu wa maumbile ya kiunoni au urefu wa mwili ?Mimi ni mwanaume wa miaka 38, ninatafuta mke wangu/mwenza wangu wa maisha.
Muonekano wangu.
Urefu- Mrefu Kiasi cm 173
Rangi- Mweusi.
-Sio mnene wa sio mwembamba (umbo la kawaida)
Elimu yangu- degree 2
Kazi- Mtumishi (Taasis ya Serikali)
Sifa za ninae Mtafuta.
Rangi- Yoyote.
Miaka - Kuanzia 25 na kuendelea.
-Awe amejiajiri au muajiriwa.
-Awe na Elimu yoyote.
- Single parent ( single mother) namkubali pia
- Awe mcheshi ( Napenda utani).
-Awe anajipenda, kimavazi na mengine.
- Awe anaweza kuvaa nguo zozote ilimradi apendeze (Hapa nitajitahidi kadri nitakavyoweza kumpendezesha mke wangu).
-Awe na nafasi ya kutoka na mimi kwa ajili ya refleshment (hasa weeknd).
Pamoja na hayo, ninavutiwa sana na mwanamke mwenye maono (vision) hasa katika maendeleo. Awe tayar kutoa ushirikiano hasa katika kupanga maendeleo ya familia yetu.
Asiwe tegemezi wa mawazo, napendelea mawazo mbadala katika kuboresha na ustawi wa familia.
Niko tayari kumpa ushirikiano hasa akitaka kunifaham kiundani kwa maana ya back ground yangu!
(Karibu Inbox mchumba)
🤣🤣🤣🤣🤣 Ushamba mbaya sana hiyo ni kimo kwenda juu mkuuHuu urefu wa cm 173 ni urefu wa maumbile ya kiunoni au urefu wa mwili ?
Fafanuwa mkuu.
Usije ukakosa wachumba wakadhani pengine una ulemavu wa maumbile ya kiunoni..
Mimi ni mwanaume wa miaka 38, ninatafuta mke wangu/mwenza wangu wa maisha.
Muonekano wangu.
Urefu- Mrefu Kiasi cm 173
Rangi- Mweusi.
-Sio mnene wa sio mwembamba (umbo la kawaida)
Elimu yangu- degree 2
Kazi- Mtumishi (Taasis ya Serikali)
Sifa za ninae Mtafuta.
Rangi- Yoyote.
Miaka - Kuanzia 25 na kuendelea.
-Awe amejiajiri au muajiriwa.
-Awe na Elimu yoyote.
- Single parent ( single mother) namkubali pia
- Awe mcheshi ( Napenda utani).
-Awe anajipenda, kimavazi na mengine.
- Awe anaweza kuvaa nguo zozote ilimradi apendeze (Hapa nitajitahidi kadri nitakavyoweza kumpendezesha mke wangu).
-Awe na nafasi ya kutoka na mimi kwa ajili ya refleshment (hasa weeknd).
Pamoja na hayo, ninavutiwa sana na mwanamke mwenye maono (vision) hasa katika maendeleo. Awe tayar kutoa ushirikiano hasa katika kupanga maendeleo ya familia yetu.
Asiwe tegemezi wa mawazo, napendelea mawazo mbadala katika kuboresha na ustawi wa familia.
Niko tayari kumpa ushirikiano hasa akitaka kunifaham kiundani kwa maana ya back ground yangu!
(Karibu Inbox mchumba)
Af ukiona mwanaume anatafuta mke mtandaoni lazima ana shida au tatizo lazima nina experience au domo zege au nyaya za kichwan zimeachia kidogo
Ukipata niite mbwa nimekaa pale
You deserve to be called idiotAf ukiona mwanaume anatafuta mke mtandaoni lazima ana shida au tatizo lazima nina experience au domo zege au nyaya za kichwan zimeachia kidogo
Yaan mtu awe na degree 2 unamwona nyaya zimeachiaAf ukiona mwanaume anatafuta mke mtandaoni lazima ana shida au tatizo lazima nina experience au domo zege au nyaya za kichwan zimeachia kidogo
Ni kawaida sanaHiki kitu cha kutafuta webza mtandaoni hua sijawahi kukielewa.
Je n kwamba katika watu wanowazunguka hawajaona anaefaa?
Je ni kwamba wanatafta suprise huku mtandaoni?
Je ni kukata tamaa na jua kuanza kuzama?
Je ni sehem ya kuficha maovu hasa kwa watu wasiowafaham vizuri?
Je ni uwezo mdogo wa kumwaga serA?
All in all nadhani kila mtu ana mawazo yake. Kila la kheri mkuu
Achana nae huyo! bado mdogo sana, hafahamu umuhimu wa social media/NetworksYaan mtu awe na degree 2 unamwona nyaya zimeachia
Degree sio ishu miaka ya sa hiv ilikua zamani kaka Akipata nimeshasema aniite mbwa😂Yaan mtu awe na degree 2 unamwona nyaya zimeachia
AsanteYou deserve to be called idiot
Degree za jotoridi la mwili au zipi tena?Yaan mtu awe na degree 2 unamwona nyaya zimeachia
Ukipata niite mbwa nimekaa pale
yani kupata anayekufaa ni popote pale mwenzangu. Si rahisi sana kupata wa ndoto zako. we kaa kimya tu muache mwenzako aone kama atapata mchumba huku au la.Ni kawaida sana