Kuna hizi
House of cards
Game of thrones
Into the badlands
Forever
The originals
The vampire diaries
True blood
Being human (USA)
Sherlock holmes
Burn notice
Sleepy hollow
Witches of the east end
Daredevil
The sopranos
PB
Lost
Battle star galactica
Acheni bana series
Sent using Jamii Forums...
Jombaa iangalie yote, game of thrones ndo #one series on planet earth right now, na heart breaking pia coz ukidevelop love na character anakufa. G.o.t habari nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeniangusha sana, hivi ungemtafuna ndo uje utusimulie umeona kazi sana? Ona sasa woga wako upo kwenye mgogoro na mashemeji zako hujala hata mmoja. Umeniudhi kwa kweli
Ndo maana anaitwa serial killer kwa sababu anaua bila sababu kwake ni kama fantasy akikuua ndio anajisikia amani, na ndio maana ni kazi kuwakamata kwa sababu huwa hapangi kuua ila anachagua victims wake random
Katika pita pita zangu nikaambiwa huo ndo mjengo wa shujaa wa football TZ a.k.a Mbwana Samatha.
Lakini jamaa anakipiga tu huko Belgium hana hata sifa za kukirusha kitu chake kipya baada ya kuivunja nyumba yake ya awali iliyokuwepo eneo hilo la kisarawe II Kigamboni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.