Tatizo la smartphone kuzima screen wakati unapiga hilo ni tatizo la sensor kuchoka hivyo basi kinachotakiwa ni kupeleka simu kwa fundi ambaye na kuondoa kabisa diode zilizopo ktk sensor zisifanye kazi tena hivo simu itarejea kawaida .
Chama hakitaweza kukusaidia kwa lolote kama hautakuwa na mipango thabiti na mtaji wa kukuwezesha kufanya shughuli zako binafsi za kujiendeleza kiuchumi.Dhana ya kusubiri kuchagua chama ili kikusaudie kukuondoa umasikini ni sawa na KUSUBIRI TRENI AIR PORT.
Hapo hata sijaelewa hii mada ilikuwaje.Binadamu tumwogope Mungu na kutafuta suluhisho wengine huwa tunajifunza kupitia ukurasa huu sasa hapa tunajifunza nini zaidi ya mitusi tu.
Nilijaribu nikazipata lakini hazikufunguka sikujua tatizo nini au nilifikiri kwa kuwa nilikuwa natumia line ya simu yaani GPRS na sio 3G.Naomba nifafanulie hapo ili kesho niisake tena kwa kuwa fundi ni mimi mwenyewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.