KILIVITE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 1,302
- 556
Pia ukishamjua mvizie siku hajavaa magwanda halafu mwaga sera zako haitakuwa noma hata kama akikukatalia.Usije ukathubutu kumvamia akiwa na magwanda na mbaya zaidi na kofia kichwani.Utakuwa unacheza na moto wa jeshi kaka.Ni kumdhalilisha afisa wa polisi.Unachotakiwa kufahamu pia askari wa kike waliingizwa jeshini kwa mara ya kwanza kwa ajili ya kuwahudumua askari wa kiume hasa!!