HaitowezekanaMwl account yangu ya ACAMHD ina stack sana, nadhani coverage ya internet hapa nilipo itakuwa na shida. Naomba ushauri.
Pia naomba ufafanuzi endapo nataka kuhamia IPTV natumia dish la dstv na king'amuzi q23g kwa coverage hii ya internet inawezekana?
Aina ya connection za internet unazoweza kutumia ni:-Kama sehemu ninayoishi hakuna coverage ya 3G na is hi na HPRS Nifanyeje
Channel List Intelsat 20 at 68.5E with AvatarCam
Whatsapp: + 255 784 496 856Code:http://http://www.lyngsat.com/packages/DSTV-South-Africa.html
Itafute intelsat 20 @68.5e inafungua channel zote za ss, ikiwemo hiyo ss3
Nilijaribu nikazipata lakini hazikufunguka sikujua tatizo nini au nilifikiri kwa kuwa nilikuwa natumia line ya simu yaani GPRS na sio 3G.Naomba nifafanulie hapo ili kesho niisake tena kwa kuwa fundi ni mimi mwenyewe!