Waziri wa Mambo ya Ndani ni Mathias Chikawe.
Pasco unaweza naomba utofautishe kati ya RCO na RSO?
Kwa msaada kidogo ni kuwa RCO huyu ni Polisi yaani Regional Criminal Investigation Officer (mkuu wa upelelezi wa jinai Mkoa) kiutawala yuko chini ya RPC. Na huyo RSO sio Polisi bali ni Afisa Usalama wa Mkoa (wengine wanaita usalama wa taifa) au Regional Security Officer.Pasco unaweza naomba utofautishe kati ya RCO na RSO?
Ndugu jitahidi kujibu kwa Hekima kidogo,hivi hata km ni matusi Ndo umuhusishe na Mama yake?,Mama yake amekukosea nini wewe??,Ndugu zake nao wamekukosea nini wewe???,Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!!,Hao wengine wamekukera nini??,Hapo ukute wengine walishafariki!!!.
aisee.....
Pole. . . . .
Polisi wa Tanzania ni sawa na majambazi tu!
ww pasco ni MPUMBAVU, sasa kama wafungwa wanataka kutoroka mikononi mwa polisi au magereza na badae iwe lawama au polisi kufungwa au kufukuzwa kazi bora UWAFYATUE WAKAFIE MBALI,.,wewe na hao wanaokusapoti kwa MIHEMKO U KUWASHWA KAENI KIMYA hamjui sheria kua mfungwa anapokimbia au mahabusu anatakiwa afanywe nini na askari?
duh!! Yaan hii hasira sio bure..
Lazma kuna uhusiano wa kiharifu