Msaada: Smartphone kuzima screen wakati wa kupiga simu

Msaada: Smartphone kuzima screen wakati wa kupiga simu

muudy

Senior Member
Joined
May 25, 2013
Posts
156
Reaction score
22
Habari zenu Wana jf

Naomba tujuzane hv ni kwa nn simu nyingi za smartphone hasa hasa smartphone kuzima screan wakati wa kupiga au kupigiwa alaf kushindwa kuwaka mpaka anayeongea nae akate yeye na njia gani ya kutatatua hili tatizo??? Ahsanteni...
 
Hilo sio tatizo, we huoni kama ni feature nzuri tu kusave battery na simu kutopata moto?

Kuna sensor ipo kwenye simu yako ukipiga simu ukiiziba tu basi kioo kinazima mwanga.

Kama unataka kioo kisizime ukipiga simu eka loudspeaker
 
Habari zenu Wana jf

Naomba tujuzane hv ni kwa nn simu nyingi za smartphone hasa hasa smartphone kuzima screan wakati wa kupiga au kupigiwa alaf kushindwa kuwaka mpaka anayeongea nae akate yeye na njia gani ya kutatatua hili tatizo??? Ahsanteni...

Hii Iko hivi: Kuna sensor ipo hapo juu ya screen (IR sensor) ambayo unaposogeza simu sikioni inadetect na kuZima Touch screen.

Sababu ya kuzima TOUCH SCREEN ni ili kuzuia simu isiweze kuoperate touchscreen wakati unaongea isiwese Kujikata au kufanya operation nyingine yoyote.

Ili kuona jinsi sensor hii inavyofanya kazi: Piga namba yoyote halafu chukua simu nyingine na iwashe Camera yake uielekezee hiyo kamera pale juu ya screen ya ile simu uliyopiga, Utaona mwanga unaotoka kwenye ile Procimity sensor.
 
hiyo sensa yako imeharibika peleka kwa fundi.nilishawah kua na tatizo kama hilo kwenye htc.
 
Huenda hiyo simu unayotumia ni dual/laini mbili na kama si ya laini mbili basi itakuwa imejaa apps.Pia angalia apps zinazo-run kwenye background kwa sababu nazo huweza kuwa chanzo ukishindwa yote fanya reset..
 
Habari zenu Wana jf

Naomba tujuzane hv ni kwa nn simu nyingi za smartphone hasa hasa smartphone kuzima screan wakati wa kupiga au kupigiwa alaf kushindwa kuwaka mpaka anayeongea nae akate yeye na njia gani ya kutatatua hili tatizo??? Ahsanteni...
Mkuu hata me nna tatizo ka lako wakati mwengine inafanya kazi vizuri ukipiga cm ukaweka sikion inajizima screen ukitoa inawaka !!imenisumbua Sana ila we jaribu kufuta vizuri sehem hio ya sensor uone itafanya kazi?? Ikikataa bac ujue ni hardware imekufa ya kubadili kwa fundi! Unaweza kuiturn off proximity sensor kwa mda ka hataki i sense kuondosha huo usumbufu nenda kwa phone call halaf settings then turn off proximity while on call
 
Tatizo la smartphone kuzima screen wakati unapiga hilo ni tatizo la sensor kuchoka hivyo basi kinachotakiwa ni kupeleka simu kwa fundi ambaye na kuondoa kabisa diode zilizopo ktk sensor zisifanye kazi tena hivo simu itarejea kawaida .
 
Tatizo la smartphone kuzima screen wakati unapiga hilo ni tatizo la sensor kuchoka hivyo basi kinachotakiwa ni kupeleka simu kwa fundi ambaye na kuondoa kabisa diode zilizopo ktk sensor zisifanye kazi tena hivo simu itarejea kawaida .

sasa hapa utakuwa umeondoa tatizo au umetengeneza tatizo? mi sawa sawa na kutoa VDR kwenye UPS
 
Habari zenu Wana jf

Naomba tujuzane hv ni kwa nn simu nyingi za smartphone hasa hasa smartphone kuzima screan wakati wa kupiga au kupigiwa alaf kushindwa kuwaka mpaka anayeongea nae akate yeye na njia gani ya kutatatua hili tatizo??? Ahsanteni...

Hilo ni tatizo nione kwa msaada zaidi.0754 604567...ulibadirisha tachi.simu yako ni yaaina gani.nicheki whatsapp tuma model nikupe jibu fast.
 
Hilo ni tatizo nione kwa msaada zaidi.0754 604567...ulibadirisha tachi.simu yako ni yaaina gani.nicheki whatsapp tuma model nikupe jibu fast.

Mimi simu yangu nikipiga/kupigiwa siwezi kukata mpaka niyayeongea nae ndio akate . Niliwahi kubadilisha touch na kioo
 
Kuna laber.ktk sensor. Atakua ameisahau.sasa unatakiwa umtafute fundi ulie nae karibu au nitumie model ya simu yako.niangalie kama naweza kukusaidia ulipo
 
Kwa msaada zaidi tutafute ktk whatsapp 0754604567

Mkuu, mimi yangu ni Nokia Lumia 620, nilibadilisha Touch. Je, kama nitanunua Touch nyingine itakuwa sawa au mpaka iwekwe hicho kidubwasha kilichosahaulika? Nijibu tafadhari
 
Mkuu, mimi yangu ni Nokia Lumia 620, nilibadilisha Touch
NITAFUTE WHATSAPP 0754 60 45 67.hizo simu mafundi hawaijui sensor. Zikoje sasa mara nyingi zina waanguka.nitafute tatizo la simu
 
Back
Top Bottom