Recent content by Eng.Rwebangira

  1. Eng.Rwebangira

    Data science & Full stack developer

    Habari za muda huu wanajamvi, naomba mwenye ufahamu mzuri na hawa jamaa wanajihita Digatal Regensys, wanajihusisha na digital online training especially upande wa data science and full stack developer. Asante
  2. Eng.Rwebangira

    Kuanzia mwaka 2024 Usb ni Moja tu

    All in one connector, ni nzuri zaidi. Tena dunia ya micro-devices kwa USB type C safi sana.
  3. Eng.Rwebangira

    Naomba kufahamu shule za Serikali zinazofundisha CBN

    Mwanza Secondary Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
  4. Eng.Rwebangira

    Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Toyota Corolla Runx

    Asante sana mkuu,.shukrani bro[emoji120] Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
  5. Eng.Rwebangira

    Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Toyota Corolla Runx

    https://www.japanesevehicles.com/vehicle_details.php?vid=214116 Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
  6. Eng.Rwebangira

    Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Toyota Corolla Runx

    Habari ndugu, Naomba mwenye ufahamu mzuri juu ya gari aina ya Corolla Runx,.sifa zake na kasoro hama changamoto zake. Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app Toyota Corolla Runx
  7. Eng.Rwebangira

    Taja Series 3 Bora Ulizowahi Kutazama

    Hvi hii Hanna season Two inapatikana.
  8. Eng.Rwebangira

    Kitovu Kikubwa kwa mtoto

    Navipi kama mtoto anamwezi mmoja hakuna daliki yote yakuwa nasubira labda mpaka baada ya miezi mitatu labda kitovu kinawezafunga kwa ndani chenyewe bila kutumia sarafu.Naomba kueleweshwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Eng.Rwebangira

    Enumerators wanahitajika aga khan mwanza

    Sawa mkuu ,tuendelee kuvumilia..Labda bado wanafanya shortlist. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Eng.Rwebangira

    Enumerators wanahitajika aga khan mwanza

    Habari wakuu,vipi mwenye taarifa zozote kuhusu mchakato mzima wa hii position.Je wameishaita watu kwenye usaili hama bado maana kwangu mimi bado naona kimya.Tafadhali mwenye taarifa zoote naomba. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Eng.Rwebangira

    Kilimo cha miti

    Habari wanajamvi, nimepitia makala ya faida ya kilimo cha miti ndani ya jamvi iliyochangiwa mwaka 2012,Naomba mwenye mchanganuo wa kina kuhusu faida ya uwekezaji wa kilimo cha miti anipatie na pia wenye michango mbalimbali kuhusu kilimo na uwekezaji huu wachangie.Nimevutiwa na uwekezaji huu na...
  12. Eng.Rwebangira

    Mchinjaji wa Islamic State 'Abu Sayyaf' naye amechinjwa

    Anapigaje mabikira 72...naomba maelezo mkuu
  13. Eng.Rwebangira

    Hali mbaya: Makampuni ya simu yaanza kupunguza wafanyakazi. ITV yasogeza mishahara mbele

    UDOM ni international university na si chuo cha kata.Wanaokiita chuo cha kata IQ yako ni 0
  14. Eng.Rwebangira

    Mugabe asweka ndani mashoga hadi washike ujauzito

    Safi sana....iyo ndo dawa yao
  15. Eng.Rwebangira

    In Life don't give up.Always fight for what you want to become.

    At age 16 he quit school. At age 17 he had already lost four jobs. At age 18 he got married. Between ages 18 and 22, he was a railroad conductor and failed. He joined the army and washed out there. He applied for law school he was rejected. He became an insurance sales man and failed again. At...
Back
Top Bottom