Habari za muda huu wanajamvi, naomba mwenye ufahamu mzuri na hawa jamaa wanajihita Digatal Regensys, wanajihusisha na digital online training especially upande wa data science and full stack developer. Asante
Habari ndugu,
Naomba mwenye ufahamu mzuri juu ya gari aina ya Corolla Runx,.sifa zake na kasoro hama changamoto zake.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Toyota Corolla Runx
Navipi kama mtoto anamwezi mmoja hakuna daliki yote yakuwa nasubira labda mpaka baada ya miezi mitatu labda kitovu kinawezafunga kwa ndani chenyewe bila kutumia sarafu.Naomba kueleweshwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,vipi mwenye taarifa zozote kuhusu mchakato mzima wa hii position.Je wameishaita watu kwenye usaili hama bado maana kwangu mimi bado naona kimya.Tafadhali mwenye taarifa zoote naomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanajamvi, nimepitia makala ya faida ya kilimo cha miti ndani ya jamvi iliyochangiwa mwaka 2012,Naomba mwenye mchanganuo wa kina kuhusu faida ya uwekezaji wa kilimo cha miti anipatie na pia wenye michango mbalimbali kuhusu kilimo na uwekezaji huu wachangie.Nimevutiwa na uwekezaji huu na...
At age 16 he quit school.
At age 17 he had already lost four jobs.
At age 18 he got married.
Between ages 18 and 22, he was a railroad conductor and failed.
He joined the army and washed out there.
He applied for law school he was rejected.
He became an insurance sales man and failed again.
At...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.