Recent content by Eng Inc

  1. Eng Inc

    Ikiwa wameweza kumteua marehemu, viongozi wetu wazuiwe kutukopea na kusaini mikataba, watauza Nchi!

    Akisema vibaya, machawa wanakuja juu, ila kuna vitu havipo sawa dhahiri kwenye taasisi ya Urais kuna shida kubwa mno
  2. Eng Inc

    Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

    Ni kweli kabisa. Apewe maua yake ila tatizo alituachia Katiba yenye mapungufu kadhaa yanayolitesa taifa mbaya zaidi viongozi wanatumia hayo mapungufu kwa faida zao binafsi
  3. Eng Inc

    Mwaka huu 2023 umekupa funzo gani kubwa katika maisha yako?

    Nimejifunza kutokuogopa kufeli jambo, kufeli ni sehemu ya kujifunza, kama kuna jambo unaona linamanufaa lifanye usiogope kufeli. Do your best and God will do the rest Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
  4. Eng Inc

    Uzi maalum wa kutambua kazi kubwa na muhimu inayofanywa na wasanii Roma na Ney wa mitego

    Unaona wivu kisa jamaa kamkubali Roma na Ney wanaoimba ukweli kuhusu madudu ya serikali? Unashangaza
  5. Eng Inc

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji28][emoji28][emoji28]
  6. Eng Inc

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kumbe mafanikio ni kuingia big 4 unachekesha wewe [emoji1787][emoji1787]
  7. Eng Inc

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naliita hili ni kundi la Matapeli kwasababu msimu huu ulioisha wa 2022/2023 walikua na kila sababu za kuchukua EPL matokeo yake hata Man U mbovu imebeba hata kakombe cha mbuzi na kuishia nafasi ya 3 nyuma yao. Kwanini nisiliite kundi la matapeli?
  8. Eng Inc

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kundi la matapeli wote hao
  9. Eng Inc

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Ukipata usisite pia kushare nasi
  10. Eng Inc

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Wakuu ni mimi tu ndo napata shida ya kudownload vitabu kwenye PDFDRIVE au kuna shida gani nyingine maana ni kama miezi kadhaa hivi siwezi kudownload vitabu mule
  11. Eng Inc

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hongera kwa kuchukua ubingwa
Back
Top Bottom