Kati ya watu ambao nchi hii itajuta kuwapa fursa ya kupata elimiu kwa wizi ni wewe. Uongo ulioweka hapo unadhihirisha akili za kukopa kama ulivyotumia jina la mtu mwingine kusoma sekondari. Source za Wikipedia kupata information na kuziweka hapa ni upuuzi na uchuro hizi huwa hazikubaliki kwenye...
Nimefuatilia kwa karibu repoti ya Haki za Binadamu iliyotolewa wiki liyopita na mienendo ya wanaharakati dani na nje ya nchi hasa mkutano wa mashoga na wabunge wiki hii. Tujiandae kuletwa sheria ya jinsia moja na kupitishwa ndani ya miaka 2 ijayo kama ile ya Ugaidi.Hilo ni agizo toka kwa...
Ni ujinga mkubwa kutumia taarifa kama hii kuwataka watu wasikope benki. Mikopo ni njia inayoongoza duniani kuleta maendeleo kinachotakiwa ni nidhamu ya pesa. Umekaa kiumbea kuliko ushauri.
ujinga ni kule kuamini ndoa ni makaratasi na matukio tukasahau mahusiano. ndio sababu sisi wakristu ndoa zetu ni mateso kwani wengi hufuata mkumbo tu. leo mchana nimemsikia mama jirani akimwambia mwenzake si tumeshafunga ndoa atanifanya nini? Pata picha. But ni mtazamo tu.
katika harusi 8 nilizohudhuria over the past 3 years 3 zimevunjika kabisa 1 ipo ukingoni 2 ma ex wote wamerudi kwa nafasi zao 2 ndo zinaendelea kwa matumaini. nadhani kujali thamani ya maisha ni muhimu zaidi kuliko kuoa au kuolewa.
katiba yetu inatoa ustaarabu wa kutuongoza kama kuna kiongozi yeyote atakaetumia dini kujinufaisha au kupata kura basi anajivua sifa ya kua Kiongozi ndabi ya Tanzania. DINI haitatatua umaskini wetu bali elimu na kazi. Mtatiro karibu kwenye thread hii pse.
umbululo huu kila kitu siasa tumia kichwa kufikiri. Naona Dortmund wameshapigwa nje ya uwanja kwa kuruhusu wachezaji muhimu kutangaza kusajiliwa Bayern. Only spirit ya wachezaji hao itaamua game.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.