Kufunga ndoa na kuishi na mke/mme bila ndoa

Kufunga ndoa na kuishi na mke/mme bila ndoa

Mr.creative

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
492
Reaction score
117
hello jf members
Kwa mtazamo wangu ni kwamba wanaoishi bila kufunga ndoa wanafuraha na amani kwani kila mtu anajitahidi kutokumuudhi mwenzake ili wasiachane
kuliko wale waliopo kwenye ndoa hufanyiana makusudi wakijua kwamba ndoa itaendelea tu!
Vp wewe great thinker mtazamo wako ukoje kwa hili? Nawasilisha!
 
ujinga ni kule kuamini ndoa ni makaratasi na matukio tukasahau mahusiano. ndio sababu sisi wakristu ndoa zetu ni mateso kwani wengi hufuata mkumbo tu. leo mchana nimemsikia mama jirani akimwambia mwenzake si tumeshafunga ndoa atanifanya nini? Pata picha. But ni mtazamo tu.
 
ujinga ni kule kuamini ndoa ni makaratasi na matukio tukasahau mahusiano. ndio sababu sisi wakristu ndoa zetu ni mateso kwani wengi hufuata mkumbo tu. leo mchana nimemsikia mama jirani akimwambia mwenzake si tumeshafunga ndoa atanifanya nini? Pata picha. But ni mtazamo tu.

++
Tumefanana ktk mtazamo,sina cha kuongeza
++
 
Back
Top Bottom