My Observation:Dar Culture Vs Arusha Culture

My Observation:Dar Culture Vs Arusha Culture

Tembomtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
266
Reaction score
427
Magari😀ar vijana wengi wanapenda Verosa,GX100 wadada Harrier Arusha magari yanayo dominate ni Subaru (Forester) kwa vijana Rav4 kwa wadada

Mapenzi:It was argued that "couple nyingi za dar ni wababa kwa wadada kwasababu wababa ndo wenye hela (e.g Mengi na Jacky) while Arusha wadada wengi wako na wakaka as wakaka ndo wenye hela (e.g Mawala). na wakaka wengi wanatembea na wazungu as wazungu wanahela
Mavazi😀ar Vimini kwa sana kwa wadada na bensi kwa wanaume Arusha:Makoti ya leather kwa wakaka na trouser sana kwa wadada
Hairstyle😀ar Kiduku zaidi kwa vijana while Arusha dreadlocks kwa vijana

Silaha:Arusha: Very common kwa wakaka kuwa na Bastola Dar: wababa ndo wenye silaha zaidi

Ongezea kama umeobserve any
 
Wanaapolo wanashobokea sana nyagi wakati vidume vinajimiminia mabiyere kwa wingi

Machalii wanakanyaga trupa a.k.a michemsho kwa wingi wakati machizi wanafakamia kitimoto, makange na samaki choma.

Arusha wanaogopa magari wakati Dar wanaogopa mvua.

Ntarejea
 
Magari:Dar vijana wengi wanapenda Verosa,GX100 wadada Harrier Arusha magari yanayo dominate ni Subaru (Forester) kwa vijana Rav4 kwa wadada

Mapenzi:It was argued that "couple nyingi za dar ni wababa kwa wadada kwasababu wababa ndo wenye hela (e.g Mengi na Jacky) while Arusha wadada wengi wako na wakaka as wakaka ndo wenye hela (e.g Mawala). na wakaka wengi wanatembea na wazungu as wazungu wanahela
Mavazi:Dar Vimini kwa sana kwa wadada na bensi kwa wanaume Arusha:Makoti ya leather kwa wakaka na trouser sana kwa wadada
Hairstyle😀ar Kiduku zaidi kwa vijana while Arusha dreadlocks kwa vijana

Silaha:Arusha: Very common kwa wakaka kuwa na Bastola Dar: wababa ndo wenye silaha zaidi

Ongezea kama umeobserve any

hawapendi ila ndio uwezo ulipoishia.......
weather ndugu,huwezi kuvaa kimini kwenye baridi na huwezi kuvaa leather jacket kwenye 30-35c labda uwe limbukeni mshamba wa fasheni..
vijana wa arusha wako violent na malimbukeni......samahani lakini.....
 
hawapendi ila ndio uwezo ulipoishia.......
weather ndugu,huwezi kuvaa kimini kwenye baridi na huwezi kuvaa leather jacket kwenye 30-35c labda uwe limbukeni mshamba wa fasheni..
vijana wa arusha wako violent na malimbukeni......samahani lakini.....

Afanaaleki kufa hakuna breki. Arifu angalia wakija hapa watakuita mburula
 
Wanaapolo wanashobokea sana nyagi wakati vidume vinajimiminia mabiyere kwa wingi

Machalii wanakanyaga trupa a.k.a michemsho kwa wingi wakati machizi wanafakamia kitimoto, makange na samaki choma.

Arusha wanaogopa magari wakati Dar wanaogopa mvua.

Ntarejea

Humo kwenye blue ni uongo mkubwa_dar hata hawana utaalamu wa kutengeneza hicho kitimoto kuliko arusha,..halafu hao samaki wa kuchoma hapo dar sijiu umewaota.

.......ila ongeza....dar waoga wa maisha_arusha wapambanaji wa maisha.

....dar maneno/pepere mengi kuliko vitendo_arusha more action kuliko pepere.

.....dar washobokaji na hasa madem zenu_arusha sio hivyo

......dar wanapenda vya bwerereeeeeee_arusha they are responsible.

Much(uncountable) more to come......
 
hawapendi ila ndio uwezo ulipoishia.......
weather ndugu,huwezi kuvaa kimini kwenye baridi na huwezi kuvaa leather jacket kwenye 30-35c labda uwe limbukeni mshamba wa fasheni..
vijana wa arusha wako violent na malimbukeni......samahani lakini.....

Kama unajua maana halisi ya neno limbukeni basi ume_miss point mkuu i.e dar ndio malimbukeni hakuna mfano hapa nchini...ila hilo la kuwa violent naunga mkono hoja.
 
Dar wanuka vikwapa kutokana na majasho kila kona na joto watu muda wote wamenuna: Arusha wananukia kimtoni mtoni tu kila mtu barabarani mzuri, msafi anatabasamu.
 
Magari😀ar vijana wengi wanapenda Verosa,GX100 wadada Harrier Arusha magari yanayo dominate ni Subaru (Forester) kwa vijana Rav4 kwa wadada

Mapenzi:It was argued that "couple nyingi za dar ni wababa kwa wadada kwasababu wababa ndo wenye hela (e.g Mengi na Jacky) while Arusha wadada wengi wako na wakaka as wakaka ndo wenye hela (e.g Mawala). na wakaka wengi wanatembea na wazungu as wazungu wanahela
Mavazi😀ar Vimini kwa sana kwa wadada na bensi kwa wanaume Arusha:Makoti ya leather kwa wakaka na trouser sana kwa wadada
Hairstyle😀ar Kiduku zaidi kwa vijana while Arusha dreadlocks kwa vijana

Silaha:Arusha: Very common kwa wakaka kuwa na Bastola Dar: wababa ndo wenye silaha zaidi

Ongezea kama umeobserve any

Yeah_kidogo hapo kwenye blue ni kweli mkuu.
 
Dar wanuka vikwapa kutokana na majasho kila kona na joto watu muda wote wamenuna: Arusha wananukia kimtoni mtoni tu kila mtu barabarani mzuri, msafi anatabasamu.


ahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa_you tell them....naona aspirin anachungulia hapo chini.
 
Wanaapolo wanashobokea sana nyagi wakati vidume vinajimiminia mabiyere kwa wingi

Machalii wanakanyaga trupa a.k.a michemsho kwa wingi wakati machizi wanafakamia kitimoto, makange na samaki choma.

Arusha wanaogopa magari wakati Dar wanaogopa mvua.

Ntarejea

Dar hakuna wanywaji!
Ukienda bar imejaa lakini wote wanasubiri chips mayai.
 
Mpambano bado unaendelea na wale wachunguliaji bado wanaendelea kuchungulia! weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Dar/Arusha shusha vituuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Arusha ukimkosea mshikaji anakwambia "ntakunyonya macho" Bongo "kuwa mstaarabu msela wangu".
 
arusha wanachomana visu kugombea mademu Dar rarely! Tehe
 
arusha wanachomana visu kugombea mademu Dar rarely! Tehe

dar ipi_na arusha ipi mkuu...?.....hebu story za shigongo mnavyofanyiana unyama sababu ya mademu...au muulize dully walinfanya nini.
 
Magari😀ar vijana wengi wanapenda Verosa,GX100 wadada Harrier Arusha magari yanayo dominate ni Subaru (Forester) kwa vijana Rav4 kwa wadada

Mapenzi:It was argued that "couple nyingi za dar ni wababa kwa wadada kwasababu wababa ndo wenye hela (e.g Mengi na Jacky) while Arusha wadada wengi wako na wakaka as wakaka ndo wenye hela (e.g Mawala). na wakaka wengi wanatembea na wazungu as wazungu wanahela
Mavazi😀ar Vimini kwa sana kwa wadada na bensi kwa wanaume Arusha:Makoti ya leather kwa wakaka na trouser sana kwa wadada
Hairstyle😀ar Kiduku zaidi kwa vijana while Arusha dreadlocks kwa vijana

Silaha:Arusha: Very common kwa wakaka kuwa na Bastola Dar: wababa ndo wenye silaha zaidi

Ongezea kama umeobserve any

Vijana wengi wa kidaslama wana ishu za kichoko choko, ndio wanaongoza kwa kuomba bia bar. Halafu wanahonga sana mademu zao kiboya boya ( unakuta demu wa kawaida tu halafu muhongaji anagongewa kama boya lakini yupo tu )

mademu wengi wa dar ni malaya kwa sababu maisha magumu

vijana wengi wa dar hawaja experience kuwa na mahusiano na msichana mzuri ambaye ni descent
 
Vijana wengi wa kidaslama wana ishu za kichoko choko, ndio wanaongoza kwa kuomba bia bar. Halafu wanahonga sana mademu zao kiboya boya ( unakuta demu wa kawaida tu halafu muhongaji anagongewa kama boya lakini yupo tu )

mademu wengi wa dar ni malaya kwa sababu maisha magumu

vijana wengi wa dar hawaja experience kuwa na mahusiano na msichana mzuri ambaye ni descent

Yeah_humo kwenye blue ni very...very true,..anyebisha ni mchawi,...wanahonga kiboya halafu wanasalitiwa kipuuzi na wapenziwao huku wakiendelea kubebembeleza penzi....pambafuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
 
Back
Top Bottom