Zile tatu tatu ni ada lakin kinachopendwa zaid ni idadi ya witri kwa maana ni 3,5,7 kama utaweza kuongeza lakin haimaanish kwamba unakubaliana na utatu
Bila kuswali huna funga kwasababu
1.ili ufunge lazma uwe muislam na ili uwemuislam laxma uswali kuna hadith moja mtume anasema "tofauti yetu na wao ni swala" na kuna nyingine anasema "mwenye kuiacha swala ameivinja din" na hata wakat anaondoka dunian aliusia sana juu ya swala.hivyo ikifunga...
Dah! Kuna watu wanauchukia uislam ,wanatamani wangeuondoa ila basi tu watafanyaje.kwa taarifa yako waarabu kabla ya kuja uisilamu hawakua wakivaa kwa kujistiri ,kujistiri ni utamaduni wa kiislam na si wa kiarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.