Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
Naona kamera zote zipo kwa Shishi baby akikata vitunguu.
Yuko wapi yule aliyesema " Kufa kufaana "
Yuko wapi yule aliyesema " Kufa kufaana "
Wana matatizo kweliiHe he he he
watu wameenda kuleta ukada mpaka kwenye msiba, wakati akiwa hai hawakumpa hata mia ya panadol???
Kweli maisha haya bila unafiki hayaendi.
Wewe mbona unaleta comedyIdriss akiwa amezimia baada ya kupata taarifa za msiba huuView attachment 754331
hahaha mkuu katika hizo takatakata na mimi nimoWewe nawe naona ni mgeni jf! Ufipa maana yake chadema,makao makuu ya chadema yapo kinondoni mtaa wa ufipa ndio maana wanawaita ufipa,na ccm japo makao makuu yapo dodoma ila ofisi ndogo zipo kariakoo mtaa wa lumumba ndio maana wanaitwa lumumba fc a.k.a buku 7 mfano wa lumumba fc buku 7 ni kama vile barbarosa,rutashobollwa,coco chanel na takataka nyingine
Mimi na wewe nani alijoin JF kabla. Nilikuwa naisoma tangu 2008 ila niliamua kujoin 15 Sept na angalia post zangu na likes zangu zikoje compare with yours.Wewe nawe naona ni mgeni jf! Ufipa maana yake chadema,makao makuu ya chadema yapo kinondoni mtaa wa ufipa ndio maana wanawaita ufipa,na ccm japo makao makuu yapo dodoma ila ofisi ndogo zipo kariakoo mtaa wa lumumba ndio maana wanaitwa lumumba fc a.k.a buku 7 mfano wa lumumba fc buku 7 ni kama vile barbarosa,rutashobollwa,coco chanel na takataka nyingine
Acha kuigiza umarufu sio Kwa msiba Wewe umezimia umeshikilia kitamvaa cha kufutia jasho
Anaejua anisaidie kidogo, hivi CCM huu msiba unawahusu vipi, marehemu alikuwa na cheo gani huko CCM, nimeuliza tu
Anaejua anisaidie kidogo, hivi CCM huu msiba unawahusu vipi, marehemu alikuwa na cheo gani huko CCM, nimeuliza tu
Mama yake alishafarikiMbona simuoni wala kumsikia mama yake Masogange kwenye msiba huu?
Wakikujibu nistue chalii anguMbona simuoni wala kumsikia mama yake Masogange kwenye msiba huu?