Dah! Kuna watu wanauchukia uislam ,wanatamani wangeuondoa ila basi tu watafanyaje.kwa taarifa yako waarabu kabla ya kuja uisilamu hawakua wakivaa kwa kujistiri ,kujistiri ni utamaduni wa kiislam na si wa kiarabuUle ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.
So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
Mwanamke hana diniHaijuzu kwa mkristo kumuoa binti wa kiislamu ila mwanamme wa kiislamu karuhusiwa kumuoa binti wa kikristo hata kama binti huyo atabaki ktk imani yake.
Soma vizuri hudhuria kila siku quran you will tell me, hao wameambiwa wakae katika utulivu, wakisikiliza na kuwasaidia waume zao kumjua MUNGU.imekatazwa kwa mwanamke wa kiislamu kuolewa na kafiri wa aina zote mbili. Quran 60:10
Umedanganywa na jina mimi mzee baba quran imelala ni ustadh mwenzio.imekatazwa kwa mwanamke wa kiislamu kuolewa na kafiri wa aina zote mbili. Quran 60:10
Mafii mushkilah khalaasMwemye nguvu hajigambi, naomba uniambie aya ya mwisho kushuka ktk Quran ni ipi? Sura ya 60 inaitwaje? na hiyo aya yake ya 10 inasemaje?
Mwanamume anaoa wanaawaake nane!! Mwanamke anaweza kuwa na wanaaume nane?? Why?? Umekariri ustadh kajifunze zaidMafii mushkilah khalaas
Usimeze mzee iishi quranAu naomba unitajie aina mbili za ukafir kulingana na Mafundisho ya Quran
Nimeomba tu sababu ili uichallange iman naa kuongeza uelewa, ukiuliza ukapata jibu utanielewa, gud nightdah! hayo mafundiaho ya anti-Quran
Wastaaraabu, sana tu, kila zama ana elim yakeKwa hiyo mnasema wale mabibi zetu waliokua wanaacha maziwa wazi wanaziba uchi tu walikua sio wastaarabu sio??? Wale wadada wa swaziland na wazuru wa Afrika kusini wanaokaa vifua wazi na nguo asili hawajastaarabika na hawafai???
Humu naona watu wapo na ulevi wa wadada wa kiarabu na wasichana weupe ndo naona mnawaposti tu hapa. Mdada anawezavaa kimini kama vazi tu na bado akawa mstaarabu kuliko mvaa mahijabu.
Kumbe na nyie ni kuwa tuwapongeze wazungu kwa kuwaharibu?Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.
So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
Lazme asilimu hakuna namnaHaijuzu kwa mkristo kumuoa binti wa kiislamu ila mwanamme wa kiislamu karuhusiwa kumuoa binti wa kikristo hata kama binti huyo atabaki ktk imani yake.
Kumbe mwana ulikua unajiita Bulldog?Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.
So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.