Nzuri mwanzoni ila kuanzia season 5 mtunzi kaonekana kuchoka. If possible angetoa penny 2 akaitengeneza kidogo. Kufeli kwa mwandishi ni lazima hilo halipingiki.
Thanks #Lege na mtunzi pia.
Mara 1 hyo.
Cku 1 nkiwa skul golden ridge high school ya geita tukawa 2napga xtor za makabla.Sasa wakuu jamaa m1 kaniulza umetoka wap mkal nikamjbu Mara.
Chakuchekesha zaid jamaa kaniulza tena "et jamaa naskia ukfka mara unakutana na kibao kmeandkwa BE STRONG B'COZ U ARE MARA NOW"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.