Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Ni kweli au naota????Hii ushaipata bila hata kuomba!
My wii Valentina naomba uninunulie flowerbomb my sweetie wifi
Wewe tena... Hilo umepata,sema jingineMy wii Valentina naomba uninunulie flowerbomb my sweetie wifi
Mi nakupenda Nyani Ngabu,achana nao haoKumbe nawe unalichukia li Nyani Ngabu.
Mngeanzisha chama chenu kabisa....Chama Cha Wanaolichukia Li Nyani Ngabu [CCWLNN].
Sijui hata mko wangapi ila nahisi mwaweza kuwa wengi.
Manake uko wewe, yule kakako, na kale ka nanihino, yule naniliu, na wengineo.
Hiyo balance itazidisha chuki kwako.Ngoja mie nije nikutumie list yangu ya perfume, lotion na handbagWewe tena... Hilo umepata,sema jingine
Huo upendo uwe wa agape tu maana tayari huyo ni mume wa mtuMi nakupenda Nyani Ngabu,achana nao hao
Mkuu kumbe box linalipa,kibongo bongo ukimiliki kiasi hicho unaingia kwenye kundi la mafisadi.,big up
Kumbe wajua ee
Orodhesha mahitaji yako yote ya mwaka mzima my wii....Hiyo balance itazidisha chuki kwako.Ngoja mie nije nikutumie list yangu ya perfume, lotion na handbag
Ngoja tuyakemeeMapepo yameharibu huu uzi
kumbe na humu kunaMapepo yameharibu huu uzi
Mapepo hakuna vijana, endeleeni na uzi wenu..kumbe na humu kuna
mapepo.....toka pepo kwa jina la YESU....
Box babyMkuu kumbe box linalipa,kibongo bongo ukimiliki kiasi hicho unaingia kwenye kundi la mafisadi.,big up
Kwani kuna darasa la ndoaDuh maskini kuna wanaume hawajui hata Pete ya ndoa uko ndani siijui itakuwaje
Jana nikawa busy mpenzi mimi nipe zawadi unayoipenda wewe
Chagua zawadi mpenzi...