Hiyo ni kazi ndogo, iformat kwa kubonyeza power batani pamoja na volume up kwa pamoja (power + volume kwa pamoja) shikilia kwa second 10 halafu chagua factory reset simu yako itarudi kama mpya. Onyoo itafuta kila kitu kwenye simu
Jamani kwa sehemu hii tulipofikia lazima tuweke maslahi ya nchi yetu kwanza. Tusiseme waliofanya ni akina nani huku tukiendelea kupata hasara kubwa, tuokoe kwanza alafu tuangalie ni nani aliyesababisha.
Hapana tatizo sio chama cha siasa. Hapa tunazungumzia chama cha mawakili tanzania na kiongozi wao ni lissu. Watafute namna ya kuangalia hapa wamshauri Mh. Raisi kama hawawezi hakuna haja ya wewe na chama chake kuwepo hapa nchini wakafanye kazi zingine.
Tena Mhe. Rais angetoa amri moja kwa Lissu na jopo lake kama hawawezi kutafuta namna ya kuwashitaki hawa jamaa afutilie mbali chama cha mawakili Tanzania maana kitakuwa hakina msaada kwa nchi yetu
Ninakesi na mtu fulani mahakama ya mwanzo. Nilimkopesha kiasi cha pesa kwa kuandikishiana, lakini sasa yeye anadai kwamba nilimkopesha kwa riba na analeta shahidi siku ya maamuzi ya kesi. Na huyo shahidi hakuwepo wakati tunaandikishiana. Nifanyaje hapa wadau?
Mafunzo yao kwa ujumla yanafanana ingawa kuna tofauti ndogo ndogo. Ndio maana dunia nzima wanajuana kwa special code ambazo mtu wa kawaida hupaswi kuzijua na hii ni kwa usalama wako wewe raia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.