Kinana, Nape kung'oka CCM

Kinana, Nape kung'oka CCM

Hatimaye Kinana na Nappe sasa kung'oka CCM

Chanzo: gazeti la Tanzania Daima la leo
Mwana CCM mwenzangu Una maoni gani juu ya hili?

15.jpg
ndani ya chama kumepamba moto..kinana alivyo fanyiwa duu...Magu hacheki na mtu
 
Kinana hawezi kutoka ccm anajua akitoka tu kesho yake anapandishwa kisutu......Ana madudu mengi sana sana.....anzia ile kashfa pembe za ndovu kusafirishwa kupitia kampuni yake na mmiliki akiwa yeye nenda makampuni yake yanakwepa kodi Ana makapuni zaidi 5.....WIA wamedaiwa ma kodi kibaoo.....sixtelecom wanadaiwa kodi na pia wamehujumu uchumi.....kwenye mambo ya simu za kimataifa.....kesi ile nzito!! Kampuni zake za clearing and fowarding na wakala w ameli umeiba sana sana.....kuna deal moja walipiga wakati kuleta ile kampuni ilijenga mwendo kasi.....ana kashfa pale pia!!! Hawezi kutoka ccm!!!!
 
Back
Top Bottom