Naomba msaada wa kisheria

Emma504

Member
Dec 6, 2016
20
12
Ninakesi na mtu fulani mahakama ya mwanzo. Nilimkopesha kiasi cha pesa kwa kuandikishiana, lakini sasa yeye anadai kwamba nilimkopesha kwa riba na analeta shahidi siku ya maamuzi ya kesi. Na huyo shahidi hakuwepo wakati tunaandikishiana. Nifanyaje hapa wadau?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom