Recent content by emedichi

  1. emedichi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ndoano: Nilienda Kumzika Ibilisi Wangu

    sijajitangazia umiliki wake, pia sijajua kama hii imewekwa na mtambuzi tayari ila niisoma ikaniuma. I thought it is not bad to share it
  2. emedichi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ndoano: Nilienda Kumzika Ibilisi Wangu

    KUNA STORI HAPA NIMEKUTANA NAYO. KAMA NI KWELI, BASI KUMUAMINI BINADAMU NI KAZI NGUMU SANA. Nilienda kumzika ibilisi wangu! Ilikuwa ni ajali kubwa na hata mimi sijui niliweza vipi kupona. Dereva na mke wangu walifia pale pale kwenye eneo la tukio. Tulikuwa tukitokea Chalinze kurudi Dar...
  3. emedichi

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

    Ninataka kujikita rasmi kwenye ujasirimali ambao hautakua na risk kubwa. Nimefikiri Ufugaji wa Nyuki unaweza kuwa na tija kwa sababu hawahitaji chanjo, maji, umeme, ni kuweka mzinga na kwenda tu kuvuna kila inapojaa. Ni nani mwenye taarifa kuhusu mradi kama huu? - Ni wapi hasa kunafaa kwa...
  4. emedichi

    JamiiForums Tanzania Kinondoni: ....Eti mtu mmoja ana viwanja 99... vya nini?

    Yeye ndo serikali
  5. emedichi

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe: The turmoil, reconciliation, and the future!

    file:///home/student/Desktop/Zimbabwe.jpg
  6. emedichi

    JamiiForums Tanzania Kikwete siyo safi! - yes I said it!

    Hapa kweli iko ISHU NZITO. Hawa wanangata na kupuliza sidhani kama wana tofauti wakoloni. Mkoloni alijulikana rasmi kuwa ni mnyonyaji, mkoloni wa leo anajiita ndugu, anafanana na sisi, tukilia njaa analia na sisi angali yeye ndio chanzo. Mmechuma lakini hatutawaacha mle kwa amani. Mafisadi wote...
  7. emedichi

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa: Kwa nini mnaficha majina yenu humu ndani wakati tunajua mpo?

    Naona kuna wenye sura za Mkapa, Lowasa nk. Nani ana uhakika ndio wenyewe? Wakitaja utathibitishaje ndio haswa na sio bandia? Anza kutaja jina lako kamilin wewe, uliko, unafanya kazi gani nk. Tukutambue.
  8. emedichi

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa: Kwa nini mnaficha majina yenu humu ndani wakati tunajua mpo?

    Hakuna haja ya kutaja majina. Makombora ndio muhimu. Wachukue maoni yanayotolewa huku wayafanyie kazi. Kama wana mada tata waianike wapate mawazo. Sidhani kama jina litasaidia chochote. Hata hivyo wanawezajitokeza watu bandia wakijidai ni wanasiasa fulani. Utajuaje kama wanadanganya? Hoja tu...
  9. emedichi

    JamiiForums Tanzania Why did he divorce her?

    NImeikubali mkuu,
  10. emedichi

    JamiiForums Tanzania The War Crimes Charges Against Al Bashir

    MJJ INAELEKEA HUU MGOGORO HUJAUFUATILIA VIZURI. Ni kwamba Bashir alishashinikizwa na umoja wa mataifa asitishe mauaji darfur. Kuna resolution 1706 ya baraza la usalama ambalo lilizitaka nchi ntyingine kuweka vizuizi vya kibiashara Sudan ili Bashir aridhie. Lakini hili limekua resolution bubu...
  11. emedichi

    JamiiForums Tanzania The War Crimes Charges Against Al Bashir

  12. emedichi

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    Baba Mkapa, na wewe fuata nyayo za Rostam. JItokeza ujitetee na hasira ya wananchi dhidi yako itaisha.
  13. emedichi

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    He claims to stand for the people, let the people's court remind him of his responsibility. Jitihada za kujisafisha hizi lakini ukurutu uliokolea kwa miaka mingi hauwezisafishwa kwa siku moja.
  14. emedichi

    JamiiForums Tanzania Mzee Mwinyi awachomekea kizenji!

    mafisadi wote wanaongara kipindi hiki walilelewa kipindi chake cha uongozi. Aliacha mwanya ndio wanaufuata.
  15. emedichi

    JamiiForums Tanzania Mzee Mwinyi awachomekea kizenji!

    Anataka kutuambia kuwa yeye hakusoma lkn alielimika ndio maana uongozi wake ulikua "BORA??" zaidi
Back
Top Bottom