newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Mkuu Malila ,kijiji cha Chogo kipo wapi?Je wanaweza kuituma Dar mizinga kwa bei nafuu.
Mkiunganisha nguvu mtafanikiwa haraka, kwa mfano,mwezi jana nilipokuwa kijiji kimoja kinaitwa Chogo huko Iringa,niliona mzinga mmoja unafikia Tsh 8000/ kuutengeneza kisasa pale pale kijijini na wenyewe wanasema una ujazo wa debe moja na nusu. Mavuno ni mara mbili kwa mwaka.