Unaa jipyaa unaonekaa unaa arosto ya virobaaa kafiee mbaliii..kubwaa jingaa na inaelekeaa km una familiaa ina kazii ya ziadaa maana wa na mamaa jinga kbs..cjui ww km mama ndan ya Nyumba n mzigo pakaa kwa mumeo wa wakwe kama staili yk ndioo hyo
Mkuuu nimeulizaa swalii ss kosa lipoo wapii .achaa kujifanyaa mjuajii km uwezii jibuu c ukaee kimyaa..nimeulizaa nipatee kujifunzaa na nikishajuaa nikisikiaa wenzangu mtaani wanaiyongeleaa ishuu km hyoo nitawezaa kuwaelewesha kutokana na nimeshajifunzaa kwako au kwa wenginee kwakuwaa ww n mzee...
Wanaelimu za academ boraa kabisaa walizofundishwa toka utotoo..mamboo ya elimu hususan ya bongoo n nyokooo ..wakina boko hana elimu lkn msakuzi kule wameshajiwekezaa vya kutoshaa na maishaa yanaendeleaa ...maisha n ww jinsi utakavyoweza kupambana nayo ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.