Piga kura yako sasa: Wangapi bado wana imani na straika wa timu yetu

Piga kura yako sasa: Wangapi bado wana imani na straika wa timu yetu?


  • Total voters
    121

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,487
2,344
Nakumbuka kabla ya kuanza ligi yetu kila mshabiki alikuwa na kiu kuona uongozi wa timu unamsajiri huyu straika mpya kutokana na makeke aliyokuwa anayaonyesha kwenye ile ligi ya mchangani. Cha ajabu tangu tumemsajili hajawahi hata kufunga goli
 
Kuna wengine tulisema yule alikuwa straika mzuri kwa sababu alifunga sana magoli ya penalt.
Pia straika huyu huwa ana hasira hata kipindi kike yuko mchangani mara nyingi marefarii walimpa kadi za njano au kukataa magoli yake ya kuotea.
Pia watu wanao mfaham walisema straika huwa ana roho mbaya kwao hata wanawe tu wana muogopa hali hii huathiri hata uchezaji wake kuwa ni wa rafu sana.
Sasa tume mpa nafasi acheze na kumpa ukapteni, sijui timu yetu itashindaje !!!

Usajili ujao tusikosee jamani
 
Kuna wengine tulisema yule alikuwa straika mzuri kwa sababu alifunga sana magoli ya penalt.
Pia straika huyu huwa ana hasira hata kipindi kike yuko mchangani mara nyingi marefarii walimpa kadi za njano au kukataa magoli yake ya kuotea.
Pia watu wanao mfaham walisema straika huwa ana roho mbaya kwao hata wanawe tu wana muogopa hali hii huathiri hata uchezaji wake kuwa ni wa rafu sana.
Sasa tume mpa nafasi acheze na kumpa ukapteni, sijui timu yetu itashindaje !!!

Usajili ujao tusikosee jamani
tuwaite mashabiki wa arsenal watupige semina namna ya kuvumilia:D:D:D
 
tuwaite mashabiki wa arsenal watupige semina namna ya kuvumilia:D:D:D
Hahaha
Na kweli maana kwa timu hii tunahitaji uvumilivu sanaa.

Sasa timu inategemea mpaka wachezaji vijeba wanao danganya umri, na wote ali waleta huyu straika tulivompa u kapten akashauri waje na vijeba na sasa hataki kumtoa kijeba.
Na kijeba amesema ata chaza tuu hata tusemeje.
 
Back
Top Bottom