Mkuu huwezi tumia tamko la mtu mmoja au wawili ku generalize kwamba kanisa limebariki unywaji wa pombe, halaf pia huwezi tumia mijadala ya kwenye vikao kuweka consensus yako kwamba ni kanisa limesema.
Kweli walikosea sn kuondoa usafiri binafsi kabla ya kujipanga. Lakini pia gharama zake zimekuwa kubwa sana, mf toka mbezi hadi mjini gharama imepanda toka 600 mpk 1050 jambo litakaloumiza watu wa vipato vidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.