Mdahalo wa Twaweza kuhusu Utafiti unaohusu Vipaumbele, Utendaji na Siasa nchini Tanzania

A hungry politician is dangerous than a lion and a greedy politician is a threat than hyne,whereas a hypocrite politican changes his stance(position) based on his own interest the way a chameleon changes its colour according to its surroundings.
 
H. Polepole: Katiba haitakiwi kuwa hoja ya Vyama vya Siasa kujipatia umaarufu - Katiba ni suala la wananchi

........................................................................................................................................

Polepole: Huwezi kuzungumza Katiba ukiwa na mikono michafu - CCM tunasafisha mikono yetu kabla ya kuzungumzia Katiba
Kama katiba haitakiwi kuwa hoja ya vyama vya kisiasa, mbona anasema CCM inasafisha kwanza mikono? Au CCM sio chama cha kisiasa? Au CCM kunawa mikono ni swala la wananchi?
 
Twaweza ni wapuuzi Kama wapuuzi wengine hapo Tanzania mfano wa twaweza ni sawa na vyama vyote vya siasa uchwara hapo Tanzania kuwa vyenyewe ni kupinga kila kitu.
Kitu ambacho chama cha siasa cha upinzani ni kuwa na mawazo mbadala bila kupinga na kusababisha taharuki.

Mfano, watu 50+Million hapo Tanzania unahoja watu 1000, tena uliowahoji ni bila utaratibu maana walikuwa wanauliza yeyote wanayekutana nao.

Twaweza ni Zero brain organization.

Lakini, Polepole simkubali kabisaa, kwa sababu yeye amekana yote aliyoyaamini na kutuaminisha watanzania kuhusu Katiba Mpya Ila Leo anatenda kinyume kabisa.

Ila, JPM sina tatizo na utendaji wake maana anayoyafanya ni kutupeleka mahala pazuri.

With, JPM , from 2015 - 2025.

Slogan :- Hapa Kazi Tu .
 
Nasubiri upinzani utakavyo nuna
Toa maana ya upinzani tukuelewe.
Nilitaraji useme vyama vyenye itikadi tofauti na hicho kilichouza kila aina ya raslimali iliyopo juu ya ardhi ya nchi hii. Kumbuka vyama vyote vya siasa vinafanya siasa na ujivioya vyama vya upinzani ina maana vipo vinavyoeneza injili badala ya siasa. Ukisema vitanunia tafiti za kipuuzi zisizo na impact yoyote kwa watafitiwa ni unaa na unatuaminisha kuwa hawafanyi tafiti huru bali hutumwa na ccm na hata data zake wanagushi kumpendezesha aliyewatuma. Nani huwafadhili hawa waharibifu na wahamasishaji wa umaskini?
 
Toa maana ya upinzani tukuelewe.
Nilitaraji useme vyama vyenye itikadi tofauti na hicho kilichouza kila aina ya raslimali iliyopo juu ya ardhi ya nchi hii. Kumbuka vyama vyote vya siasa vinafanya siasa na ujivioya vyama vya upinzani ina maana vipo vinavyoeneza injili badala ya siasa. Ukisema vitanunia tafiti za kipuuzi zisizo na impact yoyote kwa watafitiwa ni unaa na unatuaminisha kuwa hawafanyi tafiti huru bali hutumwa na ccm na hata data zake wanagushi kumpendezesha aliyewatuma. Nani huwafadhili hawa waharibifu na wahamasishaji wa umaskini?
Kama Twaweza infadhiriwa na ccm hata chadema wanaweza wafadhiri ili waipendelee katika roport ya utafiti
 
Kabisa mkuu
Mpaka sasa chadema ina maprofessor watatu tu ambao nao walifukuzwa ccm kwa kusaka madaraka kwa nguvu,sasa unaposema ccm inapendwa na watu wasiona elimu maprofessor wengine wako wapi? madoctors wako wapi? chadema in doctor mmoja tu mpaka sasa ambaye ndiye katibu mkuu,wasomi wengi tu ndugu yangu wako ccm wanaobaki upinzani ni wale tu ambao hawajaajiriwa serikalini wakipata ajira nao wanabadilika,wanafunzi wa vyuo vikuu mimi siwezi kuwaita wasomi mpaka watakapomaliza degree zao,wao hawana upande yeyote atayewafurahisha siku hiyo tu ndo wanakuwa upande wake
 
kweli maisha ni magum sana katika wananch wenye kipato cha chini hasa wale waoishi nje ya miji mikubwa mlo kwao ni shida kukamilisha , swala la rushwa limepotea au kupungua kwa kwa kiasi kikubwa kama par sent 75 hivi , kwan hospital na mahali pa maofis ya serikali watu wamekuwa wanajituma katika kutoa huduma bila kudai hasa rushwa maana ilikuwa bila kidogo kazi haziendi......watu wameanza kurudisha uzalendo uliokuwa umepotea , hasa waliim na wahudum wa mahospital na hata waliowahudum ofisi za serikali.
 
kwa uhalisia ulikuwepo mpaka sasa , asilimia kubwa ya watu wa mijini hasa miji mikubwa watu wamekuwa wanaishabikia sana chadema kipindi cha mwaka mmoja nyuma , kwa upande wa ccm imeweza kuwa na ushabiki sana kwa upande wa miji midogo na vijijini hii kutokana na Mgombea wake kuwa na matumizi ya lugha za kuonesha yuko pale kwa maslai ya wanyonge na pia katika kampen zake alipita sana maeneo hayo , chadema waliweza kuwateka wavyuoni kutokana tu kuonesha wao wako karibu sana na vijana kwa kutoa viongozi vijana tena wakijipapanua kuwa wako kwa ajili ya kutetea maslai yao ...........wasomi wanao ipenda chadema ni wale ambao hawajakamilisha masomo yao wengi wao , wengi walio wasomo na kutoa sapoti yao kwa chadema ni wenye nia madhubuti ya mabadiliko c vinginevyo, hao walio chuo huwa wanabadilika baada ya kumaliza , na matajiri wale ambao wenye nia ya mabadiliko katika nchi hii.
 
kwa uhalisia ulikuwepo mpaka sasa , asilimia kubwa ya watu wa mijini hasa miji mikubwa watu wamekuwa wanaishabikia sana chadema kipindi cha mwaka mmoja nyuma , kwa upande wa ccm imeweza kuwa na ushabiki sana kwa upande wa miji midogo na vijijini hii kutokana na Mgombea wake kuwa na matumizi ya lugha za kuonesha yuko pale kwa maslai ya wanyonge na pia katika kampen zake alipita sana maeneo hayo , chadema waliweza kuwateka wavyuoni kutokana tu kuonesha wao wako karibu sana na vijana kwa kutoa viongozi vijana tena wakijipapanua kuwa wako kwa ajili ya kutetea maslai yao ...........wasomi wanao ipenda chadema ni wale ambao hawajakamilisha masomo yao wengi wao , wengi walio wasomo na kutoa sapoti yao kwa chadema ni wenye nia madhubuti ya mabadiliko c vinginevyo, hao walio chuo huwa wanabadilika baada ya kumaliza , na matajiri wale ambao wenye nia ya mabadiliko katika nchi hii.

Ungekua karibu ningekuwasha ngumi moja ya pua! Huko shule ulienda kusomea nini? Ujinga mtupu
 
Kama Twaweza infadhiriwa na ccm hata chadema wanaweza wafadhiri ili waipendelee katika roport ya utafiti
Roport ni kitu gani na hilo wafadhiri unamaanisha akili za makinikia na magwangala ulizozibeba kwenye hilo fuvu? Hutaacha kufanyiwa utafiti na twaweza wako kama panya wa maabara!
 
Back
Top Bottom