Mwendokasi imetuletea Taabu Ya Usafiri

Huduma serikali inabidi ichangie lakini wao wamepunguza nauli badala ya kuchangia.
OK Mkuu,basi kwa mwendo huo nadhani kama kutakuwa hakuna mabadiliko ktk hii Huduma ya Mabasi ya Mwendokasi then hali itakuwa mbaya sana mbele ya safari.

Hasa kero ya abiria kujaa sana vituoni ndani ya mabasi,kugombea kupanda n.k
 
OK Mkuu,basi kwa mwendo huo nadhani kama kutakuwa hakuna mabadiliko ktk hii Huduma ya Mabasi ya Mwendokasi then hali itakuwa mbaya sana mbele ya safari.

Hasa kero ya abiria kujaa sana vituoni ndani ya mabasi,kugombea kupanda n.k
Hali itakuwa mbaya zaidi. Ukitaka kuona raha ya huo usafiri panda mida ya saa nne asubuhi na nane mchana. Zaidi ya hapo ni kero.
 
Walete uda bc kama magar ya mwendo kasi yamewashinda,,,,maana unakuta gar la kwenda mawasliano simu2000 linapita moja ndan ya lisaa masaa mawil au lisiwepo kabisa yanii kero kero,,,,,apo inabidi utafute alternate route nauli inaongezeka. Wanakurupuka kwa kweli
 
Kuna j'mosi moja nilitoka zangu0 moro, nikaacha gari mbezi nikasema nitumie mwendo kasi kwenda mitaa ya kisutu, muda niliotumia, kero za msongamano kwenye tiketi na kwenye basi, nilijuta, na sirudii tena kutumia hayo mabasi yasiyokuwa ya mwendo kasi bali yenye barabara maalumu.
 
Kero zote hizi zinatokea makonda yupo. Magufuli yupo, wakuu wa wilaya wapo, sumatra wapo, na nauli zinalipwa..
Funny enough watu wanateseka vituoni hawa wanasiasa leo jumapili wameenda kwenye nyumba za ibada wanataka waombewe.
Wanaona kuwa Mungu ni babu yao.
Kuna mwingine anajiita Nabii anajiona yeye ndio Mungu wa dsm
 
Daaah jifunzeni kwa wenzenu Nairobi plz,gari za abiria ni level seat,polisi wanakamata abiria incase umesimama kwenye gari.na watu wanaelewa hâta Kama ni haraka gani lazima usubiri gari la nafasi ya kukaa,Tena commercial jioni lazima upange foleni,mnaingia kwa utaratibu,sio kusukumana wala nini,unaweza subiri one hour watu wakiwa wengi,so ni ustaarabu ndio tatizo
 
Serikali ya CCM aijawa kusimania biashara yoyote ikawa sawa ni upuuzi kwakwenda mbele viongozi wasio na akili wanapewa uongozi kwenye miladi inakufa hata shirika la ndege sijui kama kuna cha maana kitatokea
 
Hali itakuwa mbaya zaidi. Ukitaka kuona raha ya huo usafiri panda mida ya saa nne asubuhi na nane mchana. Zaidi ya hapo ni kero.
Hilo nalijua na nimeshapanda but hiyo hali saa NNE hadi saa nane ndiyo inatakiwa kuwa hata ktk peak time ya passengers
 
Hakuna ustaarabu kwenye usafiri ule,jizoezeni mapema mambo ya digital,wabongo mmezoea sana shida,umezoea upigiwe kelele na mateja,ubanane na konda hajafua uniform
Mkuu sizani kama umeielewa point yanguu, mie mwenyewe pia ni mtumiaji mzuri sana wa mwendokasi kwanza nafika mapema toka kituo kimoja hadi Kingine, ila baada ya kuzuia mabus mengine bila kuwa na plan nyingine usafiri sasa umekua keroo maana wamezuia alternative nyingne wakati resources zao hazitoshi, hio ndio ilikua point yangu kwanini wasingesubiri had waagaize hayo mabus mengine ndio wafute leseni za madaladala ya kawaida haya malalamiko na usumbufu usingekuepo,
 
Kweli walikosea sn kuondoa usafiri binafsi kabla ya kujipanga. Lakini pia gharama zake zimekuwa kubwa sana, mf toka mbezi hadi mjini gharama imepanda toka 600 mpk 1050 jambo litakaloumiza watu wa vipato vidogo
 
Kweli walikosea sn kuondoa usafiri binafsi kabla ya kujipanga. Lakini pia gharama zake zimekuwa kubwa sana, mf toka mbezi hadi mjini gharama imepanda toka 600 mpk 1050 jambo litakaloumiza watu wa vipato vidogo
Si walisema feeder+trunk nauli 800 inakuaje imekua 1050 tenaa
 
Coordination shida. Wasimamizi wa mradi hawako field, wamekaa ofisini wakipigwa kiyoyozi.

Hilo nalo mpk watembelewe na PM ndio waamke
 
Kinyume na matarajio hali ya usafiri morogoro road kwa sasa imekua ni kero!
Na hii imeleta hadi msongamano mkubwa vituoni na kwenye mabasi,haya week end tunaambiwa gari hupunguzwa wakati ndio fursa ya wengi kutumia usafiri huo,matokeo yake saa hii saa ni 1:30 jioni tumejazana kituoni posta yanatupita yakiwa tupu yaani hawapakii! Yanayopakia likisimama hata pa kutia mguu huoni!sijui hili mwisho wake lini?kwanini sumatra mmeondoa gari za binafsi mapema?tunteseka Sanaa!

Navituo vingine kutofanya kazi Shida ni nini..?
 
Serious kuna shida sana ya usafiri,shida kubwa sana sana sanaaaaaaa,hasa Morogoro Road,bora hata MOROKO TO KIMARA OR KARIAKOO
 
Back
Top Bottom