Dindira
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 2,912
- 3,468
Achaga ushamba msukuma. Ungeenda kukata kiu. Pombe sio mbaya ikitumiwa kwa kiasi. Hata waislamu wanalijua hiloJuzi nilialikwa kwenye. Misa moja huko shinyanga,ilikuwa ikifanyikia nyumbani kwa mtu! Basi baada ya Misa ukawadia wasaa wa misosi na vinywaji,baada ya mlo vijana wakaanza kusambaza vinywaji mchanganyiko,pale mbele kwenye meza kuu alikuwepo padri,zikapelekwa kreti mbili za bia,padri akafunuliwa chupa ya Safari lager! Akaipiga paaaaap!! Ikabaki nusu! Akairudia tena paaap!! Ikawa empty!! Jamaa aliyeandaa Misa hiyo akanniita nikajumuike nao hapo mbele nikamwambia tu asante mkuu!!japo nnnnilikuwa natamani ila nisingekuwa comfortable kuchapa kinywaji na mtumishi wa Mungu.