Recent content by eliakim xavery

  1. eliakim xavery

    SoC04 Suluhisho la changamoto ya upatikanaji wa kitambulisho cha taifa

    Kitambulisho cha taifa(Nida) Ni moja ya kipande kinachomtambulisha mtanzania au raia wa taifa lolote. Hapa tanzania kumekuwa na changamoto kwenye upatikanaji wake, serikali katika hili ilichelewa kwani kuna watu wazima ambao wana wajukuu wengine wamezeeka hadi kufariki pasipokukipata hata...
  2. eliakim xavery

    NATAKA kuingia Bongo movie ila Pakupitia sipaoni.

    Naendelea vzuri kuandika mkuu.
  3. eliakim xavery

    GE2020 Kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi

    Haha Lissu Raisi wa Jamii forum labda.
  4. eliakim xavery

    Mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi

    Naonba kuuliza eti mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi kutengeneza katuni zinazomove kama mtu kabisa? Mbona Tommy And Jerry ziko bomba japo inasemekana ni zazamani sana. Tunawezaje kuboresha ili ziwe na mvuto sana...
  5. eliakim xavery

    Taratibu za kufungua company

    Habari za uzima wana jukwaa natumai hamjambo kabisa, Nataka kuanza biashara ya duka la mtandao(kama kikuu) Natamani kujua gharama za kufungua kampuni inayohusika na shughuri hii(kisheria) Pia nahitaji kujua taratibu za kufuata. Nahitaji kujua mtaji unahitajika kama kuanzia kiasi gani. Utalaam...
  6. eliakim xavery

    Nimeibiwa sim aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei, nifanyeje niipate?

    oooh ahsante ngoja nilifanyie lazi hili basi.
  7. eliakim xavery

    Nimeibiwa sim aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei, nifanyeje niipate?

    nilienda voda wa kasema hiyo kazi ni ya police wana watatoa ushirikiano kwa police ikiwa polie watahitaji
  8. eliakim xavery

    Nimeibiwa sim aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei, nifanyeje niipate?

    Police wananiambia kumtafuta kila wakitafuta elfu80 wamesema nijipange asa nawaza hiyo ghaarama kuitoa kabla ya kifanikiwa jambo langu nisipoipata itakuwa hasara kwangu
  9. eliakim xavery

    Nimeibiwa sim aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei, nifanyeje niipate?

    Wapendwa nimeibiwa simu aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei yake nawezafanyaje ili niipate?
  10. eliakim xavery

    Kwanini Jerusalem ni mji Mtakatifu?

    ilikua zamani saivi huo mji hauni hiyo dadhi tena. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom