Recent content by eliakim xavery

  1. eliakim xavery

    NATAKA kuingia Bongo movie ila Pakupitia sipaoni.

    Naendelea vzuri kuandika mkuu.
  2. eliakim xavery

    Uchaguzi 2020 Kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi

    Haha Lissu Raisi wa Jamii forum labda.
  3. eliakim xavery

    Mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi

    Naonba kuuliza eti mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi kutengeneza katuni zinazomove kama mtu kabisa? Mbona Tommy And Jerry ziko bomba japo inasemekana ni zazamani sana. Tunawezaje kuboresha ili ziwe na mvuto sana...
  4. eliakim xavery

    Taratibu za kufungua company

    Habari za uzima wana jukwaa natumai hamjambo kabisa, Nataka kuanza biashara ya duka la mtandao(kama kikuu) Natamani kujua gharama za kufungua kampuni inayohusika na shughuri hii(kisheria) Pia nahitaji kujua taratibu za kufuata. Nahitaji kujua mtaji unahitajika kama kuanzia kiasi gani. Utalaam...
  5. eliakim xavery

    Nimeibiwa sim aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei, nifanyeje niipate?

    oooh ahsante ngoja nilifanyie lazi hili basi.
  6. eliakim xavery

    Nimeibiwa sim aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei, nifanyeje niipate?

    nilienda voda wa kasema hiyo kazi ni ya police wana watatoa ushirikiano kwa police ikiwa polie watahitaji
  7. eliakim xavery

    Nimeibiwa sim aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei, nifanyeje niipate?

    Police wananiambia kumtafuta kila wakitafuta elfu80 wamesema nijipange asa nawaza hiyo ghaarama kuitoa kabla ya kifanikiwa jambo langu nisipoipata itakuwa hasara kwangu
  8. eliakim xavery

    Nimeibiwa sim aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei, nifanyeje niipate?

    Wapendwa nimeibiwa simu aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei yake nawezafanyaje ili niipate?
  9. eliakim xavery

    Kwanini Jerusalem ni mji Mtakatifu?

    ilikua zamani saivi huo mji hauni hiyo dadhi tena. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. eliakim xavery

    Natafuta mwekezaji katika bidhaa za ngozi hususani Viatu vya wazi(Sandals) na Vya kufunika, Mikanda (mishipi)

    nilinunua kwa mtu alikua na kibanda akskigunga Sent using Jamii Forums mobile app
  11. eliakim xavery

    Waandishi wa vitabu wote tukutane hapa

    mbarikiwe sana nmejifunza mengi sana hapa, mimi nmekua na mawazo mengi ya kuandika kuna kipindi niliwaza kuuza miswada kwa wasanii kwaajili ya kicheza sinema, lakin nlipompa msanii mmoja mswada aliingia mtini kila nikimuuliza amekuwa akisema bado bado mpaka leo mwaka wa5. kila nikikaa au...
Back
Top Bottom