Naonba kuuliza eti mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi kutengeneza katuni zinazomove kama mtu kabisa?
Mbona Tommy And Jerry ziko bomba japo inasemekana ni zazamani sana.
Tunawezaje kuboresha ili ziwe na mvuto sana...
Habari za uzima wana jukwaa natumai hamjambo kabisa,
Nataka kuanza biashara ya duka la mtandao(kama kikuu)
Natamani kujua gharama za kufungua kampuni inayohusika na shughuri hii(kisheria)
Pia nahitaji kujua taratibu za kufuata.
Nahitaji kujua mtaji unahitajika kama kuanzia kiasi gani.
Utalaam...
mbarikiwe sana nmejifunza mengi sana hapa, mimi nmekua na mawazo mengi ya kuandika kuna kipindi niliwaza kuuza miswada kwa wasanii kwaajili ya kicheza sinema, lakin nlipompa msanii mmoja mswada aliingia mtini kila nikimuuliza amekuwa akisema bado bado mpaka leo mwaka wa5.
kila nikikaa au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.