eliakim xavery
Member
- Apr 24, 2015
- 96
- 71
Naonba kuuliza eti mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi kutengeneza katuni zinazomove kama mtu kabisa?
Mbona Tommy And Jerry ziko bomba japo inasemekana ni zazamani sana.
Tunawezaje kuboresha ili ziwe na mvuto sana kama zilivo katuni za Lango?
Nahitaji kujua tatizo ni elim\utundu au ni vifaa tulivyonavyo?.
Tufanyaje ili kuboresha?
Mbona Tommy And Jerry ziko bomba japo inasemekana ni zazamani sana.
Tunawezaje kuboresha ili ziwe na mvuto sana kama zilivo katuni za Lango?
Nahitaji kujua tatizo ni elim\utundu au ni vifaa tulivyonavyo?.
Tufanyaje ili kuboresha?