project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,166
- 1,532
Kumbe bado Sana kwetuThe lion king ya mwaka 2019 budget ni dola mil 250 kama billion 575 budget ya wizara Tanzania ...
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kumbe bado Sana kwetuThe lion king ya mwaka 2019 budget ni dola mil 250 kama billion 575 budget ya wizara Tanzania ...
hawa bajeti kubwa ilienda kwenye promoThe lion king ya mwaka 2019 budget ni dola mil 250 kama billion 575 budget ya wizara Tanzania ...
Hiyo ni production cost nje ya promotionhawa bajeti kubwa ilienda kwenye promo
Sio tu kwetu Afrika nzima hakuna anaethubutu kucheza hiyo kamari
Mimi ni msanii kwa fani yangu.Naonba kuuliza eti mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi kutengeneza katuni zinazomove kama mtu kabisa?
Mbona Tommy And Jerry ziko bomba japo inasemekana ni zazamani sana.
Tunawezaje kuboresha ili ziwe na mvuto sana kama zilivo katuni za Lango?
Nahitaji kujua tatizo ni elim\utundu au ni vifaa tulivyonavyo?.
Tufanyaje ili kuboresha?
Rango nimeiangalia zaidi ya Mara 10 na sichoki kuirudia. Hizi fani tuwaachie wazungu tu.Panya:"whats the matter,you missing your mommy's mangoes??"
Rango:"As a matter of fact I am,but not as much as your daddy's cooking...."
Panya:"exactly where did you say your from?"
Rango:"Me? Im from the west...out there beyond the horizon..So No,my haisome little rodent friend, I am not from round these parts...You might say Im from everywhere there's trouble brewing and hell waitin' to be raised..You might say I'm what hell's already raised up...The Name is Rango"
Hiyo animation inaitwa zootopia Kali kinomaKuna Nyimbo ya shakira inaitwa Try Everything dah yani utaipenda.
Ungetupua kamoja au tuwili maana mi mgeni mtaa huoNaonba kuuliza eti mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi kutengeneza katuni zinazomove kama mtu kabisa?
Mbona Tommy And Jerry ziko bomba japo inasemekana ni zazamani sana.
Tunawezaje kuboresha ili ziwe na mvuto sana kama zilivo katuni za Lango?
Nahitaji kujua tatizo ni elim\utundu au ni vifaa tulivyonavyo?.
Tufanyaje ili kuboresha?
Naonba kuuliza eti mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi kutengeneza katuni zinazomove kama mtu kabisa?
Mbona Tommy And Jerry ziko bomba japo inasemekana ni zazamani sana.
Tunawezaje kuboresha ili ziwe na mvuto sana kama zilivo katuni za Lango?
Nahitaji kujua tatizo ni elim\utundu au ni vifaa tulivyonavyo?.
Tufanyaje ili kuboresha?
Kuna movie yako inaitwa nadhani Utopia ni Kali kinomaKuna Nyimbo ya shakira inaitwa Try Everything dah yani utaipenda.
hatariHapo hajakuelewa muambie hivii gharama za kujenga kiwanja cha taifa Dar es Salaam ( kwa mkapa ) ni dola mil 53 ... kutengeneza animation ya rango ni dola mil 135 maana yake ni viwanja viwili vya taifa na chenji ya kujengea Barabara ...
Labda zitakuwa bomba CCM ikiondolewa madarakani kwa kupitia sanduku la kura.Naonba kuuliza eti mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi kutengeneza katuni zinazomove kama mtu kabisa?
Mbona Tommy And Jerry ziko bomba japo inasemekana ni zazamani sana.
Tunawezaje kuboresha ili ziwe na mvuto sana kama zilivo katuni za Lango?
Nahitaji kujua tatizo ni elim\utundu au ni vifaa tulivyonavyo?.
Tufanyaje ili kuboresha?