Ndio maana ikaitwa redio za burudani yaani kwa kila kitu kwao ni burudani na leseni yao inawaruhusu kufanya hivyo kwa hiyo ukitaka kusomewa magazeti vizuri nenda tbc,redio one, chanel ten na nyingine nyingi tu zipo sio lazima hizo kama zinaku kera.
Mimi nishauri ili jam ipungue jijini Mwanza wangetengeneza ile barabara ya mkuyuni kutokea Mwatex au kwa jina la Nilepirch road inge saidia sana maana mtu anaenda kuanzia mitaa ya neshno,mwatex,Igoma na kuendelea nilazima aingie mjini ndipo atoke kwenda hayo maeneo sasa inakuwa jam sana wakati...
Magari ya siku hizi nikosa la jinai fundi kutumia ufundi wake kuhisi mahali panapo kuwa na shida au kupigia ramli ungepeleka kwa kupima na mashine kujua ugonjwa unakubalije kutubiwa bila ya vipimo zama zile zimepitwa na wakati mkuu
Nihivi kama mapenzi acha yanipite tu lakini siwezi fanya huu ujinga nitafute pesa ya kujikimu maisha yetu halafu yeye eti amekaa tu nani mzima duh ; hapo sasa moyo sio sukuma tena damu ni moyo sukuma chapati .Dunia nishushe .
zakaria toka enzi yard yake hukosi mabus mapya kila kukicha batco anauzaga sema watu hawafuti majina ndio unaona nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.