king joniva
JF-Expert Member
- May 14, 2018
- 262
- 295
Nielewe nin mkuu? Mo ni mwanachama halali wasimba yupo hapo kama ambavyo wanasimba wengine wanavyoweza kuwepo. Kwan katiba ya simba inasemaje mkuu?!Sasa hapo miaka mitatu anafanya nini wakati mkataba bado?? Elewa kwanza😁😁