Recent content by elia stephen

  1. elia stephen

    Story za vijiweni kuhusu watumiaji wa bangi (malijuana/mjani)

    Inategemea unaitumiaje,,,,,too *much is harmful*
  2. elia stephen

    Nafuu vunja bei electronics

    Samsung au adobe inch 32 unauzaje?au TV yoyote yenye kutumia solar ya inch 32
  3. elia stephen

    Angalieni Star tv live NOW!

    Nashangaaga sana,,wao wanatwambia tuombe ulinz kwa Mungu ila wao wanawalinz wao
  4. elia stephen

    Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

    Bado hatujaja kwetu,,hao in was huko huko uchagani,,subiri wiki yetu ijayoo
  5. elia stephen

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu msaada namna ya kutoa hela meridian,nilibet kiutani tangy mwez wa 8 nikaenda chaka Leo naangalia nakuta nmekula kama kilo mbili HV nmeshindwa kuitoa.nikitoa inarud
  6. elia stephen

    Kuna siri gani walimu kutokuzeeka mapema?

    Mwalimu n MTU anaefanya Nazi ktk mazingra ya mazoez,muda mwingi anasimama,kazi ya ualimu n sawa na mtu alieko mazoezin
  7. elia stephen

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Lindi kilwa nine morogoro idara msingi.ukipenda ni PM
  8. elia stephen

    Naombeni kujuzwa juu ya hii kitu wanaiita aim glob

    Wakuu habari za hapa,natumaini mko salama.Wakuu kuna watu wananifuata inbox face book na kunishawishi nijiunge na hiyo Aim globe.sasa mpaka naileta kwenu hapa in kqamba naogopa kuingia choo cha like.Japo nimegoogle lakini bado sijapata shuhuda anitoe wasi wasi.In hayo tuu wakuu.
  9. elia stephen

    Naombeni kujuzwa juu ya hii kitu wanaiita aim globe

    Wakuu habari za hapa, natumaini mko salama, Wakuu kuna watu wananifuata inbox facebook na kunishawishi nijiunge na hiyo Aim globe. Sasa mpaka naileta kwenu hapa in kwamba naogopa kuingia choo cha kike.Japo nimegoogle lakini bado sijapata shuhuda anitoe wasi wasi. Ni hayo tuu wakuu.
  10. elia stephen

    Fursa za biashara Zanzibar

    Tatizo kodi..yaani jinsi ya kupitisha mzigo kuupeleka mpaka zanzbr...TRA
  11. elia stephen

    ITV mmekuwa zilipendwa. Azam imewapiga bao la kisigino

    Mimi bado ITV no best Chanel kwa taarifa ya habr
  12. elia stephen

    HAI: Mwalimu awekwa rumande kwa kushindwa kuandika jina la Mkuu wa Wilaya

    Washenzi tuu wanadhani kila analojua yeye ndo kila MTU anajua? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom