Angalieni Star tv live NOW!

Angalieni Star tv live NOW!

Nishashududia mtu anakuf kwa kutopelekwa hospital mpka ikawa too late eti wanamwambia aombe tuu. Mwingine ameambiwa asimshitaki mdeni wake polisi. Yaani hawa jamaa story zao ni kama mchezo wa kuigiza lakini ndo wanafanya kweli.
Mbali na majina yao maa. Mamlaka , sijui utukufu. Na jamaa marehemu Munuo aliwaambia alishamuua shetani tangu 2008 so wanakula bata tuu kusubiri kuingia Paradiso. Hawa jamaa ni shida
Alimuua shetani..
 
Wana bibilia yao(siyo Biblia),kalenda yao,wote nguo nyeupe na siku yao ya ibada,Jumanne.
 
Du Yaani kama wamerogwa vile hizi dhehebu tuwe macho jamani sio kukurupuka
 
Kuna siku niliona startv hawa wanaojiita maprophet mtu anaombewa ametapika kiwembe
Shenzi zao hawa watu wanawafanya watu wawe wajingaa,mfyuuuu zao
 
Usipotumia Akili na Utashi wako lazima wengine watatumia Akili na Utashi wao kukugeuza wewe fursa..,
 
Mkuu hawa watu wamekuwa wapuuzi kupita kiasi Imani yangu inaenda inazidi kupungua kwao, Huwezi ambatana na Rundo la watu wamekutoka nyuma au wanakusimamia kwa lipi?

Wagonjwa wa Kifafa ndio huwa wanasimamiwa nyuma asije akaangukia kisogo ubongo ukamwagika.
Sisi Rc hatuna hayo mambo kbsa
 
Si mwenzenu Huyo?si imeandikwa kwa mafumbo unasHangaa nn sasa?Hii dini ina mambo ya ajabu sana
 
Huyu jamaa Na lisauti lake ni wapotoshaji.
Kuna mchagga mmoja ndiye aliyeanzisha hilo kanisa hapo Mbezi Beach wao ndio Wana mregard kama Yesu. Huyo Mchagga ndio wanamuita Elia Adam wa pili.
Jamaa alikufa miaka kadhaa nyuma wakaanza kusambaza uzushi eti ameonekana akipaa Huko Bagamoyo
Kanisa linaitwa "SHIKA NENO TENDA NENO"
 
Kuna mahubiri kutoka Kanisa la The Pool of Siloam church na somo ni Kati ya Baba na Mwana nani aabudiwe (wameweka mstari Yohana 4: 23-24 ) ...hivi nisaidieni hawa ni Wakristo? Fatilieni wenyewe muone mafundisho ya ajabu kwelikweli!!!
Nimemsikiliza yupo sahihi mungu ni mungu na yesu ni yesu anaye takiwa kuabudiwa ni mungu baba na sio mungu mwana, mungu mwana ni daraja na si mungu, kaongea logic ambayo wakrito wengu walishwa maneno watapinga,
 
Nimemsikiliza yupo sahihi mungu ni mungu na yesu ni yesu anaye takiwa kuabudiwa ni mungu baba na sio mungu mwana, mungu mwana ni daraja na si mungu, kaongea logic ambayo wakrito wengu walishwa maneno watapinga,
Nime update uzi ili kujibu hoja za watu kama nyie ...
 
Hivi hizi jumuiya za Kikristo hazina wajibu kufuatilia vitu basic kama hivi? Tofauti za madhehebu zipo lakini huwezi kujiita Mkristo huku ukiamini Yesu si Mungu! Huku hujui Yesu ni Mungu kweli na mtu kweli!
Labda mkuu unaweza kunisaidia kitu kimoja...

Yesu ni mwana wa Mungu au ni Nani?
 
Nimemsikiliza yupo sahihi mungu ni mungu na yesu ni yesu anaye takiwa kuabudiwa ni mungu baba na sio mungu mwana, mungu mwana ni daraja na si mungu, kaongea logic ambayo wakrito wengu walishwa maneno watapinga,
Ata Mungu mwana anapaswa kuabudiwa coz Jesus na Baba ni wamoja
 
Labda mkuu unaweza kunisaidia kitu kimoja...

Yesu ni mwana wa Mungu au ni Nani?
Yesu ni Mungu kweli na mtu kweli ...ukielewa hiyo dhana itakuwa rahisi kutenganisha mambo ya Yesu akiwa ktk mwili kama mtu na kujua ni Mungu pia. Neno wa Mungu akawa mtu na akaitwa mwana wa Mungu .... mimba yake ilipatikana kwa uweza wa Roho Mtakatifu .... Hata pale alipo batizwa na Yohana sauti ilisikika kutoka Mbinguni ikimtambulisha kama mwana ....inabidi usome vizuri mistari kuanzia agano la kale ili uelewe mantiki ya Yesu kuwa Mungu na kwanini ujio wake katika mwili umemtambulisha zaidi kama mwana ....
 
Back
Top Bottom