Recent content by Elena of Avalor

  1. E

    Kwanini mahusiano/ndoa nyingi hazidumu?

    Aisee pole!nazungumzia wao ambao wanachepuka bila sababu yani ni tabia yao tu na hao wapo wengi mno
  2. E

    Kwanini mahusiano/ndoa nyingi hazidumu?

    Uko sahihi kabisa sema tu kuna kitu kimoja umekisahau na ambacho ndo kinatesa ndoa nyingi leo Siku hizi mwanamke unaweza kuwa mtii kwa mumeo,ukamfanyia kila kitu ila atakukosea heshima mno kwa kuwa na michepuko ya kila aina tena bila hofu! Kwa hali ya kawaida hii huleta maumivu makubwa sana kwa...
  3. E

    Suala la kutangaza nafasi za kazi ambazo atakayepewa anajulikana tayari itakwisha lini?

    Dah Kumbe hizi CV tunazohangaika nazo daily kutuma ni wastage of time tu? Leo ndo nimejua ukweli
  4. E

    Mke wa mtu ananiomba niigize kama jamaa yake

    Kwa experience ya ndoa ambazo naziona huyo kapigwa tukio tu bana Wanawake kutaka kumrusha roho mume wa ndoa si kazi rahisi wengi hawafanyi hayo ukiona hivyo ujue kumewaka tu sema anatumia busara asiyamwage kwako pengine anaona soo kutiririka mambo yake
  5. E

    Mke wa mtu ananiomba niigize kama jamaa yake

    Huyo atakuwa kapigwa matukio double double na mmewe sasa anataka kumuonyesha kuwa na yeye mrembo hata wa nje wanampenda ndo anataka akutumie wewe kumrusha mmewe Ukikubali kitakupata kitu manake wanaume wanapenda wachepuke wao tu na sio wake zao!In short mkimbie huyo bibie
  6. E

    Trapped to a married man

    USITHUBUTU KUOLEWA NA MME WA MTU!nimeandika herufi kubwa kwa msisitizo
  7. E

    Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

    Usife moyo tuko wengi tunasaka ajira Wengine toka 2013 tuko na CV mkononi Ukipata humu usitusahau na sie utupm utupe maconnection
  8. E

    Niulize swali lolote kuhusu wanawake

    Kama umemuoa then anakosa ham ya tendo ujue ana stress kichwani ambazo huzijui na hajapata suluhu bado au pengine unamfanya zaidi ya uwezo wake wa kustahimili so anaboreka au pengine humridhishi kabisa so anaona unampaka shombo tu!na kama hujamuoa ujue huyo mwanamke hakufeel wala nini kuna...
  9. E

    Kenya: Almunusura mahututi wa COVID-19 azikwe hai

    Aisee. I wonder what went wrong!
  10. E

    Si kanifanyia fujo! Sasa naenda kumpa mumewe mambo

    Tena inaonekana wewe ndo ungekua huyo mama ungeshamuagizia gunia la mkaa umchome! Wakati unampa na mmeo nae anapewa huko Asa huo mda wa kumpa huyo bora ungeomba Mungu ile list ya wanaompa mmeo ipungue
  11. E

    Wanajamvi maneno haya yana ukweli kiasi gani?

    Huyo dada ameongea ukweli Naamini wengi humu mmeandika based on your experiences lakini wanawake wa hivyo wapo tena wengi tu shida ni kuwa huenda hujawahi kukutana nao
Back
Top Bottom