Recent content by EGPTIAN

  1. E

    Tanzania haiko salama

    Well said! Padr kafa mmoja lakini kilasiku maalbino wanapoteza maisha na viungo vinapotea wengine wakiwa hai.
  2. E

    Yanga kufungwa 5-0 na Simba je wana Yanga wamejiunza nini?

    We endelea kulia tu na 5 hizo. Mtachapana bakora na mwisho mtashindwa kusajiri timu mpya. Timu imefulia na uhakika wa kuunda timu bora hamna! Imekula kwenu. Viva Simba Afrika!
  3. E

    Updates: Simba SC vs Yanga SC Uwanja wa Taifa

    Mh!mhmmm! Kama kibela vile. Yanga wamenogesha ubingwa wetu.
  4. E

    Zantel wapunguza gharama za internet

    Airtel hakuna mb4oo bali ni 500 lakn pia utalipia 12000/= kwa mwezi na mb25 ni 1500/= kiujumla imekuwa ghali sana. Utapata mb50 kwa 500/= kwa siku moja. Kwa maelezo zaidi bonyeza *154*44#
  5. E

    Simba inatakata uwanja wa taifa.

    Mafisango goooo! La 5. Simba 5 - 0 Yanga. Ubingwa umenoooga kwa kuwapa kichapo yeboyebo,wanacheza hovyo tu yanga uwanjani.
  6. E

    Simba inatakata uwanja wa taifa.

    Simba 4 - 0 Yanga. Kaseja anafunga bao la 4 kwa penalti. Okwi amefunga 2 na Sunzu kwa penalti. Hadisasa mashambulizi ni makali simba wanashambulia sana.
  7. E

    ;televisheni za kitanzania kutoonyesha mechi muhimu za ligi kuu ,kulikoni.

    Simba wanapata penalt baada ya Okwi kuangushwa na Nsajigwa. Sunzu anapiga goooooo! Simba 2 - 0 Yanga.
  8. E

    Ni nani kati ya mawaziri 55 wa JK wanaweza kujivua magamba na kuvaa magwanda?

    CDM sasa nimegundua ni wazushi na nyimbo zimewaishia. Walianza ooh Lipumba ndani ya baraza jipya! Mara ooh wabunge 70 kujiunga na CDM. CDM sasa hawana jipya zaidi ya kutafuta cheap popularity.
  9. E

    Tupende, tusipende: Tanzania inanyemelewa na udini!

    Wanasema ni dhana lakini uliyosema hapo juu nikweli! Ukweli mtupu. Udini upo tena wakutisha! Binafsi huwa nafikiria mustakbali wa nchi hii! Kabla ya, au 2015/2016 kunaharufu ya damu.Damu huenda ikamwagika na dalili zipo wazi. Vurugu zitaanza na katiba mpya zikifuatiwa na uchaguzi mkuu,hasa...
  10. E

    Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

    Mh! CDM tatizo niwabinafsi na waroho wa madaraka. Isingekuwa uroho wao basi upinzani ungekuwa kitu kimoja. Na hasa kale kagamba kakanisa walikokavaa ndio noooma! Hivyo kutokana na gamba la kanisa pwani na kampeni zao lazima waloe. CUF inaamka na kurejesha makali yake!
  11. E

    Tanzania Daima ni Gazeti la uzushi.

    Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu. Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za...
  12. E

    Mechi ya Azam na Mtibwa kurudiwa!

    Kamati ya Tibaigana imeamua mchezo uliovunjika kati ya Azam na Mtibwa urudiwe upyaaaa! Source:Sports Extra Clouds fm.
  13. E

    Yanga chali,Simba kidedea.

    Timu ya Yanga imeendelea kuboronga kwenye ligi kuu baada ya leo kukubali kulala kwa goli moja mbele ya Kagera Sugar.Pia ndani ya uongozi wa Yanga kumeibuka sintofaham kutokana na vipigo vinavyoendelea.Wakati huohuo Yanga imehusishwa na rushwa baada ya kutaka kuihonga timu ya Toto ili iweze...
Back
Top Bottom