Tanzania Daima ni Gazeti la uzushi.

EGPTIAN

Member
Feb 1, 2011
34
8
Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu.

Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za majitaka.Lengo lilikuwa kuichafua CUF tu.
 
Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu.Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za majitaka.Lengo lilikuwa kuichafua CUF tu.

Mtazamo wako tu..
 
Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu.Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za majitaka.Lengo lilikuwa kuichafua CUF tu.

Hakika wewe ni mbumbumbu wa habari.Gazeti limesema ni tetesi.......
 
kilichonichangaza na hiyo habari ni kua lipumba alivyopigwa simu na gazeti akasema hilo swala hawezi kuzungumzia kwa sababu hajapata taarifa yoyote kutoka ikulu kuhusiana na hilo. Hapo ndipo nilipochoka...nilitegemea angesema kua yeye hawezi kua waziri kwenye serikali ya ccm kwa sababu ya mambo mengi ambayo amekua akisema ccm na serikali yake inayoyafanya ambayo ni mabaya mno. But jamaa ghafla kabadilika kawa mkimya na inaonyesha leo hii akipewa uwaziri anauchukua...yaani sisi binadamu ni watu wa ajabu sana...inapokuja hela au cheo watu wako tayari kubadilisha misimamo yao. :thinking:
 
Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu.Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za majitaka.Lengo lilikuwa kuichafua CUF tu.

Sijalisoma hilo gazeti lakini leo nilipopita kijiweni ninapokunywa kahawa kuna mzee akaniambia Lipumba kateuliwa na amesoma kwenye gazeti. Nikambishia lakini akawa anasema habari ya Lipumba kuwa waziri ipo kwenye gazeti. Nikasema labda anachanganya na Mbatia aliyeteuliwa leo yeye akasisitiza kwamba si habari ya leo ila anajua ni Lipumba ameteuliwa mahala. Kumbe ilikuwa kwenye Gazeti!
 
Gazeti pekee chokonozi Tanzania

kumbuka lilikuwa lakwanza kutoa tetesi ya kifo cha BALALI
pia limeifanya IKULU itoe makanusho kadhaa ambayo hayapimiki
 
Tanzani Daima, Uhuru, Mzalendo, Kiu, haya magazeti ni kundi mmoja.
 
Ilikuwa fumbo tu. Ilimaanisha nsisiara
Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu.Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za majitaka.Lengo lilikuwa kuichafua CUF tu.
 
Gazeti pekee chokonozi Tanzania

kumbuka lilikuwa lakwanza kutoa tetesi ya kifo cha BALALI
pia limeifanya IKULU itoe makanusho kadhaa ambayo hayapimiki

Mazishi ya BALALI yalifanyika lini na wapi?
 
Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu.Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za majitaka.Lengo lilikuwa kuichafua CUF tu.

Lipumba atajwa Baraza jipya la Mawaziri• RAIS KIKWETE ASHANGILIA WABUNGE KUWASULUBU MAWAZIRI
na Bertha Mwambela, Tanga

WAKATI macho na masikio ya Watanzania yakielekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete aliyeahidi kufanya mabadiliko makubwa kwenye baraza lake la mawaziri, jina la Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ni miongoni mwa majina yanayotajwa kuwapo kwenye baraza hilo, Tanzania Daima Jumatano limebaini.Profesa Lipumba ambaye si miongoni mwa wabunge, anatajwa kuwa mmoja wa mawaziri watakaoteuliwa kutoka nje ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Duru za kisiasa kutoka ndani ya CCM na CUF, zinaeleza kuwa Rais Kikwete anatarajia kumwingiza Profesa Lipumba kwenye baraza lake na kwamba anaweza kumpa wizara ya Fedha na Uchumi."Kuna taarifa kwamba Profesa Lipumba anaweza kuwa miongoni mwa sura mpya za mawaziri. Anachoweza kufanya Rais ni kumteua kuwa mbunge, kisha kumpa uwaziri."Na kwa vile Bunge linatarajiwa kukutana Juni 12 mjini Dodoma, kama kuna watu kutoka nje ya Bunge ambao Rais anataka wawemo kwenye baraza lake, anaweza kuwateua kuwa wabunge na mawaziri wateule hadi hapo watakapoapishwa bungeni, ndipo ataweza sasa kuwaapisha kuwa mawaziri," kilisema chanzo chetu cha habari.Alipoulizwa na gazeti hili kwa njia ya simu, Profesa Lipumba alisema kuwa hawezi kuzungumzia uvumi huo kwani hata yeye ameusikia kutoka kwa watu mbalimbali."Siwezi kuzungumzia nafasi yangu kuhusu taarifa hiyo, lakini ukweli ni kwamba hadi sasa sijaitwa na Rais kwa ajili ya mashauriano yoyote kuhusu jambo hilo na kimsingi najua kama ana mpango huo, angeniita, lakini sijaitwa na sina taarifa," alisema Profesa Lipumba.
SOURCE: TANZANIA DAIMA, 2 Mei 2012
Wewe ndio mzushi maana habari kama hiyo inakuwa si kamili, hata mwandishi kaishia kusema anatajwa.. mbona tetesi hizo za flani kuwa waziri wa wizara fulani zipo kwenye vyombo vingi tu vya habari.. mimi nafikiri wewe unapaswa kukaa mbali na vyombo vya habari maana vingi vimeandika tetesi hizo, pia kuweka habari front page si lazima iwe tetesi au iliyothibitishwa ni hiari ya wenye hiyo bidhaa maana mwisho wa siku inapaswa kumfikia mlaji kwa ushawishi wa hali ya juu.
 
[h=2]Tanzania Daima ni hazeti ?[/h]kuwa makini na uongo wako hata maandishi yamekataa jinsi ambavyo unataka kutudanganya wewe GAMBA
 
Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu.Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za majitaka.Lengo lilikuwa kuichafua CUF tu.

vp UHURU -kongwe la Chama cha mapinduzi. liko super Eeeeh!!!!!!????? safar yako ni ndefu ndg!!!! pole sana..ila ucjal hatutakuacha nyuma ktk safar ya ukomboz
 
Back
Top Bottom