Recent content by Edson Kamya

  1. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Utapeli na uchawi havitengani
  2. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Kwakuwa nguvu hiyo haiwezi kuthibitika, then physical harm ndo inayotumika. Si aghalabu kusikia " mtaalamu akiomba jina, mahali anapoishi, picha, kazi, maeneo anayo tembelea. Ambapo taarifa hizo zinatosha kumfuatilia mtu na kumdhuru physically kimyakimya then ikatangazwa kua kushughulikiwa kwa...
  3. E

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa mtaa wa Kidugalo, Chanika tunateseka na Umeme, kila saa 12 jioni unapungua nguvu

    Si huko tu huku mwanza umeme unakatika kwa zamu. Kuna mgao usiotangazwa nadahani. Waya wa chalinze umeleta shida na hauunganiki.
  4. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Kwenye chaka hilo la uchawi tena vya kutisha. Kuna kuumizana/ kuuana na kuharibiana mali.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Mkuu, sijasema kuwa babu zetu walikuwa wajinga. Je inatosha kuamini kuwa uchawi upo kisa jamii imeamini hivyo kwa miaka na miaka?. Nakubali kuwa ulimwengu una vitu ambavyo havijawa bayana kwa binadamu, je hivyo vitu ni sahihi tuviite uchawi?
  6. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Imani na hisia vikikaa pamoja=upofu wa fikra.
  7. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Ndiyo, asiyefahamu kitu kingine naye ataushudia uchawi kwa kitu hicho asichokijuwa. Mwengine alimtuhumu uchawi jamaa yake aliyempa chandarua, kisa kinatoa spaks anapokigusa usiku. Typical knowledge gap.
  8. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Na wanaosema uchawi upo wakisimama kushuhudia huo uchawi, wakihusisha kitu unachokifahamu, utashangaa. Mimi ni dentist by profesion, miaka ladhaa iliyopita nikwa nafanya shughuli zangu mkoa fulani niliingia makubaliano ya kuhudumia kituo kingine cha pembezoni, ndani ndani. Ktk huduma...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Hakuna uchawi , bali ukosefu wa uelewa juu ya jambo husika.
  10. E

    JamiiForums Tanzania Tukisahau historia, inajirudia Wakoloni na walotupeleka utumwani hata leo hawatutakii mema

    Sisi wenyewe hatutakiani mema pia angalia tunayotendana.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Wizi kimtandao mchana kweupe VODACOM

    Hiki kitu kipo.
  12. E

    JamiiForums Tanzania Wizi kimtandao mchana kweupe VODACOM

    Ok, but Vodacom are very aggressive when it comes to money. Analosema mleta mada nimewahi kulipitia.
  13. E

    JamiiForums Tanzania Wizi kimtandao mchana kweupe VODACOM

    Wewe ni mfanyakazi wa Vodacom?
  14. E

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kiume mnaokataa ndoa, fanyeni mapema Kuoa kabla hamjakutana na hiki ninachopitia

    Wewe ni single father tena cubed!. Hutaki kuona single father kweli?, na hao ulowazalisha anamwachia nani awaoe?. Unakili kutembea na wanawake wengi sana tena umeeleza kwa ufahari kabisa, lakini sasa huwatakii wanawake waliozaa na wenye historia za mahusiano mengi, huoni unavyofanana nao...
Back
Top Bottom