Naona kurejea kwa watoro Chadema, ni mbinu ya CCM kuingiza watu wake.
Najaribu kufikiria kidogo kwa kuihusisha report ijayo ya tume, CCM tayari wanajuwa target zao ndani ya Chadema. Hivyo basi, sasa hivi wanatanguliza watu wao watakaoshika nyadhifa flani flani ndani ya Chadema baada ya tume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.