Hakuna acha kushadidia, mimi mwenyewe nikaona nimetumiwa msg ikiniuliza kama uankubali kujiunga au hapana, nikaandika hapana ,kesho yake nikashangaa naambiwa nakatwa 100 kila eti kuangalia game, nikawapigia 100 kuwaeleza kuwa mimi sijajiunga na huo ujinga na kuwa niliona msg nikaandika no, yule dada akasema unajua ulifungua link,nikamwambia binti mimi sio mbumbu kama unavyozani link gani mnatuma msg nyingi tu kijinga sasa kujibu sitaki ndio mkate basi aksema tunasitisha, Vodacom ni wezi ni kama alivyoandika aliyeleta huu uzi. nasubiri nichangie tone tone alafu nitupe laini yao, wacha niende huko kwingine,huu ni wizi wa mchana kweupe